Ushauri wenu

muda gani tena....3 years bado unaendelea tu kusubiri

Ndio ni miaka mingi lakini kumbuka kwamba kila jambo huwa lina wakati wake muafaka...

Hata wewe hapo ulipo yawezekana kuna mambo ambayo waliopembeni wanahisi ungetakiwa kuwa umekwisha yafanya lakini kutokana na muda bado hayajafanyika..
 
Ndio ni miaka mingi lakini kumbuka kwamba kila jambo huwa lina wakati wake muafaka...

Hata wewe hapo ulipo yawezekana kuna mambo ambayo waliopembeni wanahisi ungetakiwa kuwa umekwisha yafanya lakini kutokana na muda bado hayajafanyika..

Never mind it was me thinking out Loudly......
 
Kweli kila shetani na mbuyu wake...
 
Heh hii kali 3 good years mnadinyana tu ht hujui makazi?be serious unafichwa si ajabu,mkomalie one day uende au peleleza mwnyw af piga suprise liwalo na liwe bt ushapajua

kudi ?
mnhhhh
 
Thankx guyz nashukulu kwa kila ushauli..ntaufanyia kazi
 
deprettyn aidha huyo mtu
  • hana pakukupeleka yaani hana kwake au
  • kwake hajaweka sawa yaani anaona aibu hata kukukaribisha isije kuwa analala kwenye kigodoro chini au
  • hana future na wewe anakutumia tu!!
  • Usisahau kuna asilimia 85% ya kwamba sio mkweli ...So cha kufanya ni ujaribu kuchunguza je ayasemayo ni kweli kuwa anasehemu ana ishi?
  • Na kama anayo je kwanini hakupeleki?
  • Je,kuna mtu anaishi nae?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…