Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,038
- 2,189
mwambia ukwel ila kama hajakupenda ataishia kukuchezea na kukuacha tu nakwambia
Ahhhha yaan nilitaka kumuuliza hiv hata kutafta namba ya sim kashindwaaaa
Hahahahahaha Mapenzi kweli yahitaji nyama yaulimi haswaa
Ngoja aje tumfunde tugeuke makungw kwa muda
Mimi ni msichana kuna mwanaume mmoja nimetokea kumpenda sana kutoka moyoni, ila sijui nianzie wapi kumwambia dukuduku lilipo moyoni mwangu, na tayari nimesha muonesha dalili zote kuwa nampenda.
Ila hana muda na mimi, ndugu zangu naumia sana kila napo ninapomwona.
Nitumie njia gani ili niweze kuwa nae?
Karibuni
Eenhe afundike kweli
Mimi ni
msichana kuna mwanaume mmoja nimetokea kumpenda sana kutoka moyoni, ila
sijui nianzie wapi kumwambia dukuduku lilipo moyoni mwangu, na tayari
nimesha muonesha dalili zote kuwa nampenda.
Ila hana muda na mimi, ndugu zangu naumia sana kila napo ninapomwona.
Nitumie njia gani ili niweze kuwa nae?
Karibuni
Ni dalili gani ulizomuonesha mpaka hajakuelewa ili tukubadilishie mbinu
muulize tu kama anapenda
chapatti...halafu pika chapati mpelekee......asipoelewa hiyo jua
hakutaki...