Ushauri wenu unahitajika

Ushauri wenu unahitajika

njia sahihi ni kumweleza lililoko moyoni
 
Mimi ni msichana kuna mwanaume mmoja nimetokea kumpenda sana kutoka moyoni, ila sijui nianzie wapi kumwambia dukuduku lilipo moyoni mwangu, na tayari nimesha muonesha dalili zote kuwa nampenda.

Ila hana muda na mimi, ndugu zangu naumia sana kila napo ninapomwona.

Nitumie njia gani ili niweze kuwa nae?

Karibuni

Penda unakopendwa acha uzumbukuku....!
 
Ni dalili gani ulizomuonesha mpaka hajakuelewa ili tukubadilishie mbinu

Hivi mnadhani sisi tunaweza kushawishiwa kupenda mwanamke? Mnachoweza kufanya ni kumshawishi mwanaume akutamani akula papuchi ila ujue after haupo moyoni mwake ukiona unatafuta ukaribu na mwanaume hakutongozi ujue either ana mtu wake au haumvutii ata kidogo.
 
EEEH mUNGU MBONA MIMI HATOKE MDADA KAMA WEWE?

KWELI KWENYE MITI HAKUNA WAJENZI WALA WAKATA KUNI

MWAMBIE RAFIKI YAKE ATAKUSAIDIA SANA
 
ukiona uko karibu na mwanaume na haonyesh dalili za kukuta jua kwamba c hajakupenda tu hata kukutaman hajakutaman mwaya cha msingi subiri atakaekupenda coz ukilamisha utaishia kuliwa papuch na kutemwa!
 
Back
Top Bottom