holy holm
JF-Expert Member
- May 6, 2017
- 4,674
- 8,673
Habari zenu wana jf
Inshu iko hivi......
Naishi na mtoto wa brother angu pamoja na mdogo angu wote ni wakike
Mtoto wa kaka yupo form two na hyu mdogo angu yupo darasa la saba mwaka huu
Inshu inakuja nahisi kabisa hyu mtoto wa kaka kashanza mapenzi kabisa maana ckuizi yaani kana nyodo balaa alafu hata maendelo yake shuleni ayaridhishi kabisa likizo ya mwaka jana alikua wa 31 kati 36 drsn kwao
Navyosema atakaua ameanza kujiingiza katika mapenzi ni juzi ijumaa alitoka shuleni vzr tu akaniomba ruhusa ya kwenda mafundisho kanisan kwao nilmpa ruhusa ila nikamwambia awai kurudi home
Cha kushangaza kalirudi kama saa moja jion akafikia bafuni na baadae akaenda kulala yaan hata kula hakula siku hyo yaani alilala fofofoo cjui ndo walika micha cku hyo
Hofu yangu inakuja kama atakua ameanza huo mchezo wazazi wake watanifikiriaje maana wenyewe wanaishi zanzibar na me niko msm
Nimejarbu kuwashauri yeye pmj na mdogo angu lkn naona kenyewe ndo kama na kpa ruhusa ya kfny kanachotaka
Binafsi mimi nikishatoka asubui kwenye miangaiko yng narud saa 12 jion au saa mbili usiku saa unakuta muda mwngi vipo vyenyewe tu home
Naomba mnishauri ni mpeleke akasomee kijijini kwa mama ama ni mpeleke bonding tu
Kana miaka 16 sasaivi
Ushauri wenu please maana naogopa lawama za ndugu alafu kumrudisha kwao siwezi maana hko ndo ataharibika zaidi
Nawasilisha kwenu
Inshu iko hivi......
Naishi na mtoto wa brother angu pamoja na mdogo angu wote ni wakike
Mtoto wa kaka yupo form two na hyu mdogo angu yupo darasa la saba mwaka huu
Inshu inakuja nahisi kabisa hyu mtoto wa kaka kashanza mapenzi kabisa maana ckuizi yaani kana nyodo balaa alafu hata maendelo yake shuleni ayaridhishi kabisa likizo ya mwaka jana alikua wa 31 kati 36 drsn kwao
Navyosema atakaua ameanza kujiingiza katika mapenzi ni juzi ijumaa alitoka shuleni vzr tu akaniomba ruhusa ya kwenda mafundisho kanisan kwao nilmpa ruhusa ila nikamwambia awai kurudi home
Cha kushangaza kalirudi kama saa moja jion akafikia bafuni na baadae akaenda kulala yaan hata kula hakula siku hyo yaani alilala fofofoo cjui ndo walika micha cku hyo
Hofu yangu inakuja kama atakua ameanza huo mchezo wazazi wake watanifikiriaje maana wenyewe wanaishi zanzibar na me niko msm
Nimejarbu kuwashauri yeye pmj na mdogo angu lkn naona kenyewe ndo kama na kpa ruhusa ya kfny kanachotaka
Binafsi mimi nikishatoka asubui kwenye miangaiko yng narud saa 12 jion au saa mbili usiku saa unakuta muda mwngi vipo vyenyewe tu home
Naomba mnishauri ni mpeleke akasomee kijijini kwa mama ama ni mpeleke bonding tu
Kana miaka 16 sasaivi
Ushauri wenu please maana naogopa lawama za ndugu alafu kumrudisha kwao siwezi maana hko ndo ataharibika zaidi
Nawasilisha kwenu