USHAURI WENU UNAHITAJIKA WAUNGWANA

USHAURI WENU UNAHITAJIKA WAUNGWANA

Mimi mwenyewe najikuta natoa tu pesa kwa wadada sijui kwa nini nakuwa ivyo
 
Kadhalika, huwa nakuwa selective katika mahusiano kwa sababu huwa sipendi mwanamke mcharuko kupita kiasi ila awe muungwana na ambaye anajua kuongea kwa ustaarabu. Ingawa huwa napata ugumu sana wakati wa kumtafuta mchumba but nikipata namba yake tu huwa hachomoi. Sijui ni kwa nini kwenye kuchati au kuongea kupitia simu niko vizuri kiasi hiki.

[emoji115]Kweli uko vizuri hata kiuandishi, na kiukweki asilimia kubwa ya wanawake tunavutiwa na wanaume wa pole
Noted with thanks....Ihela.
 
Kadhalika, huwa nakuwa selective katika mahusiano kwa sababu huwa sipendi mwanamke mcharuko kupita kiasi ila awe muungwana na ambaye anajua kuongea kwa ustaarabu. Ingawa huwa napata ugumu sana wakati wa kumtafuta mchumba but nikipata namba yake tu huwa hachomoi. Sijui ni kwa nini kwenye kuchati au kuongea kupitia simu niko vizuri kiasi hiki.

[emoji115]Kweli uko vizuri hata kiuandishi, na kiukweki asilimia kubwa ya wanawake tunavutiwa na wanaume wa pole
sio wale wakorofi,wachangamfu a.k.a bad boys??
 
Back
Top Bottom