Ushauri wenu tafadhali

Ben baba

Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
68
Reaction score
34
Habarini za humu wakuu

moja kwa moja niende kwenye mada.....

jamani sisi tupo watu tisa kwenye kundi letu kwa mwaka sasa tumekua lakini tumekua tukijaribu kufanya shughuli mbali mbali lakini bado tunesuasua hasa kwenye mtaji ili kupanua shughuli zetu za kilimo.

sasa naomba ushauri wenu tufanyaje ili japo tukopesheke?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…