Ushauri wenu, pombe itaniua kijana mdogo

Ushauri wenu, pombe itaniua kijana mdogo

baharia 1

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2019
Posts
1,778
Reaction score
2,052
Habarini humu wakuu

Nambeni ushauli kwa mazingira ninayopitia mdogo wenu wakuu

Mimi nikijana mdogo kabisa miaka 22 tangu nilipomaliza sec. nilianza kujitafutia maisha mwenyew namshukuru mungu alinibariki sana nikawa nipo vizur kwenye maisha kiuchumi, kufika mpaka miaka nikawa namiliki pikipik nyingi tu nikafanikiwa kununua kiwanja, mwaka jana nikannua nagari usafiri wangu.

Hapo niliponunua gari ndipo maisha yakaanza kuchange mimi nikawa mtu wa kulewa muda wote sio usiku sio mchana wala asubuhi, nikienda bar kama nina laki namaliza yote, uchimi wangu kwasasa unaenda kupotea kila ck lazima ninywe kila ck napoteza zaidi ya laki nanusu bar, ni mwaka sasa umepita kwa mwezi napoteza zaidi mil. 2 nazaidi kwenye pombe

Naombeni ushauli ndugu zangu, usiku nikilala bila kunywa silali hayo mateso ninayopata, mandoto ya ajabu kukabwa usiku pia nikinywa usiku nikishtuka pombe zimeisha huwa najilaumu sana kwann nafanya mambo hayo Hadi nahisi kujiuwa, lakini nikiamka tuh asubuhi kila kitu nimesahau naamkia kwenye mipombe.

Naombeni mawazo yenu wakubwa zangu, nimeyachoka haya maisha
 
Habarini humu wakuu

Nambeni ushauli kwa mazingira ninayopitia mdogo wenu wakuu

Mimi nikijana mdogo kabisa miaka 22 tangu nilipomaliza sec. nilianza kujitafutia maisha mwenyew namshukuru mungu alinibariki sana nikawa nipo vizur kwenye maisha kiuchumi, kufika mpaka miaka nikawa namiliki pikipik nyingi tu nikafanikiwa kununua kiwanja, mwaka jana nikannua nagari usafiri wangu.

Hapo niliponunua gari ndipo maisha yakaanza kuchange mimi nikawa mtu wa kulewa muda wote sio usiku sio mchana wala asubuhi, nikienda bar kama nina laki namaliza yote, uchimi wangu kwasasa unaenda kupotea kila ck lazima ninywe kila ck napoteza zaidi ya laki nanusu bar, ni mwaka sasa umepita kwa mwezi napoteza zaidi mil. 2 nazaidi kwenye pombe

Naombeni ushauli ndugu zangu, usiku nikilala bila kunywa silali hayo mateso ninayopata, mandoto ya ajabu kukabwa usiku pia nikinywa usiku nikishtuka pombe zimeisha huwa najilaumu sana kwann nafanya mambo hayo Hadi nahisi kujiuwa, lakini nikiamka tuh asubuhi kila kitu nimesahau naamkia kwenye mipombe.

Naombeni mawazo yenu wakubwa zangu, nimeyachoka haya maisha
Nenda kamuone mwanasaikolojia. Au tafuta hiki kitabu kitakupa mawili matatu. Kumshinda adui inatakiwa kwanza kumjua.
IMG_20210124_145436_461.jpg
 
Pata pesa tujue tabia yako😎😎😎😎

Kimsingi pombe inabidi uicontrol sasa wewe pombe ndio inakucontrol..Pole sana kutoka kuwa mnywaji hadi kuwa mlevi

Nenda kwa wataalamu hospitalini na kwa wataalamu wa tiba za asili wakupe tiba sahihi vilevile umsogelee Mungu wako kwa maombi akuepushe na ulevi uliopindukia

Haiwezekani kijana mdogo hivyo unalewa na unapoteza fedha za maendeleo kwa pombe, kila kitu kina kiasi chake

Kuwa makini kwa hizo hela zako na rasilimali zako ulizonazo, ulevi na pombe visikucontrol kiasi kwamba ukaja ukauza vitu vyote ukabaki masikini halafu ujute baadae...
 
Habarini humu wakuu

Nambeni ushauli kwa mazingira ninayopitia mdogo wenu wakuu

Mimi nikijana mdogo kabisa miaka 22 tangu nilipomaliza sec. nilianza kujitafutia maisha mwenyew namshukuru mungu alinibariki sana nikawa nipo vizur kwenye maisha kiuchumi, kufika mpaka miaka nikawa namiliki pikipik nyingi tu nikafanikiwa kununua kiwanja, mwaka jana nikannua nagari usafiri wangu.

Hapo niliponunua gari ndipo maisha yakaanza kuchange mimi nikawa mtu wa kulewa muda wote sio usiku sio mchana wala asubuhi, nikienda bar kama nina laki namaliza yote, uchimi wangu kwasasa unaenda kupotea kila ck lazima ninywe kila ck napoteza zaidi ya laki nanusu bar, ni mwaka sasa umepita kwa mwezi napoteza zaidi mil. 2 nazaidi kwenye pombe

Naombeni ushauli ndugu zangu, usiku nikilala bila kunywa silali hayo mateso ninayopata, mandoto ya ajabu kukabwa usiku pia nikinywa usiku nikishtuka pombe zimeisha huwa najilaumu sana kwann nafanya mambo hayo Hadi nahisi kujiuwa, lakini nikiamka tuh asubuhi kila kitu nimesahau naamkia kwenye mipombe.

Naombeni mawazo yenu wakubwa zangu, nimeyachoka haya maisha

Hakuna msaada wowote unaohitaji.

Kimsingi unaishi maisha uliyoyachagua. Siku ukiamua utaacha. Kwa sasa endelea kula gambe!
 
Habarini humu wakuu

Nambeni ushauli kwa mazingira ninayopitia mdogo wenu wakuu

Mimi nikijana mdogo kabisa miaka 22 tangu nilipomaliza sec. nilianza kujitafutia maisha mwenyew namshukuru mungu alinibariki sana nikawa nipo vizur kwenye maisha kiuchumi, kufika mpaka miaka nikawa namiliki pikipik nyingi tu nikafanikiwa kununua kiwanja, mwaka jana nikannua nagari usafiri wangu.

Hapo niliponunua gari ndipo maisha yakaanza kuchange mimi nikawa mtu wa kulewa muda wote sio usiku sio mchana wala asubuhi, nikienda bar kama nina laki namaliza yote, uchimi wangu kwasasa unaenda kupotea kila ck lazima ninywe kila ck napoteza zaidi ya laki nanusu bar, ni mwaka sasa umepita kwa mwezi napoteza zaidi mil. 2 nazaidi kwenye pombe

Naombeni ushauli ndugu zangu, usiku nikilala bila kunywa silali hayo mateso ninayopata, mandoto ya ajabu kukabwa usiku pia nikinywa usiku nikishtuka pombe zimeisha huwa najilaumu sana kwann nafanya mambo hayo Hadi nahisi kujiuwa, lakini nikiamka tuh asubuhi kila kitu nimesahau naamkia kwenye mipombe.

Naombeni mawazo yenu wakubwa zangu, nimeyachoka haya maisha
Umesema kila siku lazima upoteze zaidi ya laki na nusu na umesema unakunywa kila siku iwe mchana au usiku. That means kwa mwenzi unatakiwa unywe si chini ya 4.5M ila umesema unakunywa zaidi ya 2.5M. Hapo umefanya overestimation kidogo ila kwa mwendo huu na umri wako kama unakunywa hivi hutoboi hata 25.

Unataka msaada gani wa kuacha au kupunguza. Mimi nilijaribu kunywa bia last week ikanishinda hata nusu sikufika. Mara ya mwisho kunywa nilikuwa form 3 mpaka hiyo juzi nilipojaribu kumbe pombe nimezisahau.

Kwanza achana na kampani yako ya pombe. Mwaka 2022 cut them off bakiza mahusiano ya kutafuta pesa.
 
Jambo la kwanza na la muhimu ni kutambua una tatzo....

Jambo la pili unaweza tembelea vituo vya afya vya mental health like muhimbili au Lutindi huko kuna wataalam wa kudeal na watu wenye urahibu na pombe...

Watakupatia dawa mujarabu.

La tatu badili company yako marafiki huwa wanatuongiza kwenye pombe na kushindwa kutoka....

La nne kuwa busy sana na shughuli zako. Tafuta vitu vinakufanya uwe busy...

Last but not least tafuta mwanamke oa na uishi naye. Yule mwenye hofu na Mungu.
 
Jambo la kwanza na la muhimu ni kutambua una tatzo....

Jambo la pili unaweza tembelea vituo vya afya vya mental health like muhimbili au Lutindi huko kuna wataalam wa kudeal na watu wenye urahibu na pombe...

Watakupatia dawa mujarabu.

La tatu badili company yako marafiki huwa wanatuongiza kwenye pombe na kushindwa kutoka....

La nne kuwa busy sana na shughuli zako. Tafuta vitu vinakufanya uwe busy...

Last but not least tafuta mwanamke oa na uishi naye. Yule mwenye hofu na Mungu.
Asante mkuu nimekuelewa
 
Pata pesa tujue tabia yako😎😎😎😎

Kimsingi pombe inabidi uicontrol sasa wewe pombe ndio inakucontrol..Pole sana kutoka kuwa mnywaji hadi kuwa mlevi

Nenda kwa wataalamu hospitalini na kwa wataalamu wa tiba za asili wakupe tiba sahihi vilevile umsogelee Mungu wako kwa maombi akuepushe na ulevi uliopindukia

Haiwezekani kijana mdogo hivyo unalewa na unapoteza fedha za maendeleo kwa pombe, kila kitu kina kiasi chake

Kuwa makini kwa hizo hela zako na rasilimali zako ulizonazo, ulevi na pombe visikucontrol kiasi kwamba ukaja ukauza vitu vyote ukabaki masikini halafu ujute baadae...
Samahani Mkuu, ushauri wa namna hii huwa hausaidii sana.
Ukimsoma kwa makini sana, utagundua kwamba kuna tatizo sehemu, (aidha anajutia kitu, depression Kali, nk)
Hivyo ushauri wa kuwaona wataalam ni bora zaidi.
 
Samahani Mkuu, ushauri wa namna hii huwa hausaidii sana.
Ukimsoma kwa makini sana, utagundua kwamba kuna tatizo sehemu, (aidha anajutia kitu, depression Kali, nk)
Hivyo ushauri wa kuwaona wataalam ni bora zaidi.
well upo sahihi, kazi ni kwake kuchagua jibu sahihi ili aweze kujinasua katika hali hiyo kiukweli asipokuwa makini atapoteza vingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom