Ushauri wenu please!!!

mashizo

Member
Feb 24, 2009
43
32
wadau naombeni ushauri wenu.
kuna kampuni huku ughaibuni tunatengeneza teaching aids kwa ajili ya mashuleni na technical schools,teachers training schools na wakati mwingine tunatengeza hata kwa vyuo vikuu.sasa tunajaribu kufuatilia kule nyumbani tanzania kama watahitaji basi tunaweza kuanza kufanya nao hii project.
vifaa ambavyo tunatengeneza ni vingi sana.
mfano (1) vifaa vya kieletronika ambavyo vinaonyesha ohms law's,Kirchhoff's Laws na mambo mengine mbalimbali.
(2)pia tunaweza tengeneza vya history,geography,mathematics,biology etc

HII ITASAIDIA VIJANA WETU WAJIFUNZE KWA VITENDO ZAIDI KULIKO KUKALILI
waweza ingia website yetu EL-GO
 
Back
Top Bottom