Ushauri wenu: Nilimuahidi, nifanyaje?

ahadi ni deni hakuna namna mpe tu ata kama ni mke wa mtu
 
Isikuhangaishe
Huyo ni mke mtu haihitaji akili ya kiwango cha lami kujua kama kumtimizia mahitaji yake ni kosa au si kosa.
Achana naye tena kuwa na msimamo usije haribu ndoa ya mtu
Mkuu kumbuku aliahidi lakini! Na ahadi ni deni!

Suluhisho ni kumfungulia hiyo saluni mkuu. Labda tu kama kuna vipengele mliwekeana katika makubaliano yenu.

Mfano, kama angeolewa basi usingetekeleza ahadi yako. Ila kama hiyo ahadi haikuwa na masharti yoyote basi wewe fanya kama ulivyoahidi. Ni wajibu wako kwakuwa uliahidi.
 
Eeh ulimuahidi hutamuacha hivihivi... japokua haingii akilini wewe timiza ahadi tena anaimumbushia.. timiza tu mmalizane
 
Kashaolewa tayari huyo...Achana nae...sio ahadi zote ni deni...Fanyia shughuli nyingine za kimaendeleo hiyo pesa ikusaidie
 
Usijaribu wewe ameshakuwa mke wa mtu. We usimfikirie yeye tu, jaribu kufikiri jamaa yake akijua.

Sent from my H8501 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…