Wanajf Salaam!!
Ninataka kununua laptop Hp nina kiasi cha Tsh 600,000/=. Je, kwa bei hiyo ninaweza kupata HP laptop Brand new?
Pamoja na kazi ndogo ndogo za typing pia mimi ni msomaji sana wa vitabu, hivyo huwa nitatumia sana laptop kwa ajili ya kuhifadhia softcopy za vitabu vingi ninavyo-download pamoja na series za video.
Ninunue HP ipi na ya ukubwa gani? Je, Tsh 600,000 itatosha kunipatia brand new ya hp laptop?
pia unaweza kunishauri hata varieties nyingine za laptops
Ninataka kununua laptop Hp nina kiasi cha Tsh 600,000/=. Je, kwa bei hiyo ninaweza kupata HP laptop Brand new?
Pamoja na kazi ndogo ndogo za typing pia mimi ni msomaji sana wa vitabu, hivyo huwa nitatumia sana laptop kwa ajili ya kuhifadhia softcopy za vitabu vingi ninavyo-download pamoja na series za video.
Ninunue HP ipi na ya ukubwa gani? Je, Tsh 600,000 itatosha kunipatia brand new ya hp laptop?
pia unaweza kunishauri hata varieties nyingine za laptops