Hahaaaa....interesting....
umeoa ukaona umekosea sasa unataka kuolewa!!
ushauri kama huu ndo nilokua nautaka.! Lakin sio kusema ooh utaolewa au vipi?mimi mtoto wa kiume bhana aliye mkamilifu. Nimeshaufanyia kazi ushaur wako wa busara
mkuu mambo ya internet sijaanza kuyajua jana au leo ni muda mrefu sana na kila siku nashinda net.ishu za scammers nazijua kuliko wewe unavojua.ni hilo tu.
kwa hiyo story yako ya uongo ndo imeishia hapo??