Ushauri wenu muhimu kwa hili tafadhali

Ushauri wenu muhimu kwa hili tafadhali

yap hujakosea mkuu thinking capacity yang kweli ndogo itadidi nirudi tena UDSM iseeh kupiga shule!!
umesikia usa umedata,embu tunza mimba hiyo thinking capacity za wengine sijui ziko vipi jamani?
 
umesikia mkuu mimi kwenda marekan sio ishu sana anytime naweza kwenda nina connection ya watanzania kwa best friends wanaishi Minessota na cincinnati,ohio.ni kwamba umesema hivo sababu hatujuani.na nina job nzur tu hapa home,tz na take home yangu iko poa airfair ticket ya kwenda kule hainisumbui.nilikua nataka ushaur kama wa Mr BAK(WISEMAN).ok

Kw ule mwandiko pale juu unaonesha wazi hizo ofa upatiwazo zimekudatisha halaf unapata wapi wazo la kuanza chatting had mnFikia malengo ya kutembeleana wakat tayar ushampa mtu mimba na unae???? Wewe ulishabugi cha kufanya hapo msubir bibie ajifungue salama salmin vinginevyo akijua tu kwa muda huu wallah utaua kaz s kitu uhai wa mtu n mali
 
Nimecheka aiseee yan vile unavyosimulia looo
 
Shukrani lol!!!! Nitajitahidi kuishi ndani ya mipaka ya heshima hii kubwa...lakini kule jukwaani lazima nikuchome kumoyo! Oops!!!! Nitakuwa nawalenga Nzi na Bulldog weye ukisoma basi usininunie lol!! ujue sijakulenga weye. 🙂

Hahahahaha!!! Wewe bwana Wiseman hivi unajua jana nimekusamehe naona unataka nichokoza,nayakumbuka yale mapicha yako uliyokuwa unanitesa nayo nusura nami jana nirushe zangu ila coz ninakupenda nikaacha,ila nami UKiona dongo ujue sio lako ni la kina naniii
 
Last edited by a moderator:
Akisha jifungua bibie, nenda kanisani au msikitini katangaze ndoa ili muishi kwa baraka za Mungu, achana na mambo ya kitoto
 
Wakuu natumaini mu wazima wa afya..!!

Bila kupoteza muda nianze moja kwa moja kuwaletea habari inayonisibu kuja hapa jamvin na kuomba ushauri. Ni hivi Miezi mitano ilopita nilipata mchumba na katika mahusiano yetu ikabidi ahamie sehemu nayokaa mpaka sahizi niko nae na ana ujauzito wa miezi mitatu. sasa kama mwezi mmoja umepita nimepata rafiki wa kimarekani toka huko pande za CLEVELAND,OHIO sasa tumewasiliana kwa muda na kunambia anatafuta mchumba na kutumiana picha pia na kunipa story zake yeye ni Assistant adviser wa Ohio hospital state University na mfanyabiashara pia Yupo cute sana iseeh, she is a DIVA.

Sasa katika kuwa tunwasiliana akavutika na mimi na anasema anataka aolewe na african man. tunachati sana na ananiahidi kunitumia visa fee na airfair ticket tukiendelea vizuri na atakuja Tanzania kuniona.Kaniahidi mambo kama siku nikienda USA atanipeleka Miami Beach,hollywood,na atanionesha sehemu nyingi USA za kutembelea na kuenjoy pia atanipikia american dishes na mambo mengine mazur mazuri tu.

Sasa tatizo linakuja kwa hapa akigundua kua nina binti naish nae na ana mimba yangu sijui itakuaje. Maana naona hii pia ni kama ticket ya kutua kwa Obama, the land of opportunity. Sasa wakuu nifanyeje ili nicheze kama pele maana huyu binti wa huku siwezi kumwacha kwani atapata shida akija kujifungua na life lake kwa ujumla.

Ushauri wenu wa muhimu ndo maana nimekuja hapa.

Ahsanteni.

Unataka ushauri gani mkuu? Yaani huoni ubaya wa hicho ubachotaka kumfanyia huyo binti iliyemsogeza nyumbani kwako na kumjaza mimba? Ukitaka kupata ushairi ws maana jiulize tu, kama wewe ndio ungekuwa huyo binti uliyemjaza mimba na unaishi nae, ungejisikiaje?

Marekani inawafanya wengi mchanganyikiwe, utakuja kuchanganyikiwa ukikuta huyo Mmarekani ni mwanaume mwenzio! Tamaa mbele mauti nyuma.

Vv
 
Sifa ya moyo tamaa, moyo sifa yake kutamani tamaa ya moyo inaweza kukuweka mashakani. maneno mazito hayo ya 20% kaz kwako.
 
bange izo,lin mtaacha kusujudia ngozi nyeupe...umekuwa wadada wa bongo movie,nenda ukawe pornstar.
 
Kw ule mwandiko pale juu unaonesha wazi hizo ofa upatiwazo zimekudatisha halaf unapata wapi wazo la kuanza chatting had mnFikia malengo ya kutembeleana wakat tayar ushampa mtu mimba na unae???? Wewe ulishabugi cha kufanya hapo msubir bibie ajifungue salama salmin vinginevyo akijua tu kwa muda huu wallah utaua kaz s kitu uhai wa mtu n mali

ushauri kama huu ndo nilokua nautaka.! Lakin sio kusema ooh utaolewa au vipi?mimi mtoto wa kiume bhana aliye mkamilifu. Nimeshaufanyia kazi ushaur wako wa busara
 
Wakuu natumaini mu wazima wa afya..!!

Bila kupoteza muda nianze moja kwa moja kuwaletea habari inayonisibu kuja hapa jamvin na kuomba ushauri. Ni hivi Miezi mitano ilopita nilipata mchumba na katika mahusiano yetu ikabidi ahamie sehemu nayokaa mpaka sahizi niko nae na ana ujauzito wa miezi mitatu. sasa kama mwezi mmoja umepita nimepata rafiki wa kimarekani toka huko pande za CLEVELAND,OHIO sasa tumewasiliana kwa muda na kunambia anatafuta mchumba na kutumiana picha pia na kunipa story zake yeye ni Assistant adviser wa Ohio hospital state University na mfanyabiashara pia Yupo cute sana iseeh, she is a DIVA.

Sasa katika kuwa tunwasiliana akavutika na mimi na anasema anataka aolewe na african man. tunachati sana na ananiahidi kunitumia visa fee na airfair ticket tukiendelea vizuri na atakuja Tanzania kuniona.Kaniahidi mambo kama siku nikienda USA atanipeleka Miami Beach,hollywood,na atanionesha sehemu nyingi USA za kutembelea na kuenjoy pia atanipikia american dishes na mambo mengine mazur mazuri tu.

Sasa tatizo linakuja kwa hapa akigundua kua nina binti naish nae na ana mimba yangu sijui itakuaje. Maana naona hii pia ni kama ticket ya kutua kwa Obama, the land of opportunity. Sasa wakuu nifanyeje ili nicheze kama pele maana huyu binti wa huku siwezi kumwacha kwani atapata shida akija kujifungua na life lake kwa ujumla.

Ushauri wenu wa muhimu ndo maana nimekuja hapa.

Ahsanteni.

Hizi story za shigongo msiwe mnaleta huku.
 
Yawezekana anataka akupeleke kule ili ukaliwe 0713 sasa sijui feeback yake itakuaje au ukadeki vyoo vya wazungu na kuwa hause boy.take care
 
i can't believe kuna watu bado wanashikwa na hizi stupid traps,
 
Jamani kaka embu simama imara mbona una tamaa. je ukienda hayo yote uliyoahidiwa yakakosa. Kumbuka kilicho wapata wale wanafunzi wa uganda.
 
Yawezekana anataka akupeleke kule ili ukaliwe 0713 sasa sijui feeback yake itakuaje au ukadeki vyoo vya wazungu na kuwa hause boy.take care

mkuu sijui unatumia m.t.k kufikir?
 
i can't believe kuna watu bado wanashikwa na hizi stupid traps,

yap yap! Hujakosea there diffrent ways to run your life in ths world braa.! Just like u do.!we ain't the same
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom