Ushauri wenu muhimu kwa hili tafadhali

Ushauri wenu muhimu kwa hili tafadhali

Unachati na Emeka Ukechukwu, wakati wa kufanya mipango ya visa, utaambiwa utume dola 200 kwa ajili ya kufanyiwa mipango ya visa. Mwee mapenzi gani hayo yamekaa kama bongo movie

Igweeeeeeeeee.......
 
Mleta mada hii stori yako ni kama vile umekwenda chooni, umemaliza kukata gogo na umemaliza kujisafisha (KUCHAMBA) lakini hutoki chooni unaendelea tu kuchamba, mwisho utashika MAVI.
 
penda kulelewa mtoto wa kiume utaliwa TIGO ugenini.
 
Hahha mwanaume mzima unapenda vya bure yaan.umeskia kwenda kwa obama bas akili imekuruka!!! Subiri ukalale na.mbwa utaelewa

umesikia mkuu mimi kwenda marekan sio ishu sana anytime naweza kwenda nina connection ya watanzania kwa best friends wanaishi Minessota na cincinnati,ohio.ni kwamba umesema hivo sababu hatujuani.na nina job nzur tu hapa home,tz na take home yangu iko poa airfair ticket ya kwenda kule hainisumbui.nilikua nataka ushaur kama wa Mr BAK(WISEMAN).ok
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Thank you Sir for your compliments.

umesikia mkuu mimi kwenda marekan sio ishu sana anytime naweza kwenda nina connection ya watanzania kwa best friends wanaishi Minessota na cincinnati,ohio.ni kwamba umesema hivo sababu hatujuani.na nina job nzur tu hapa home,tz na take home yangu iko poa airfair ticket ya kwenda kule hainisumbui.nilikua nataka ushaur kama wa Mr BAK(WISEMAN).ok
 
Mleta mada hii stori yako ni kama vile umekwenda chooni, umemaliza kukata gogo na umemaliza kujisafisha (KUCHAMBA) lakini hutoki chooni unaendelea tu kuchamba, mwisho utashika MAVI.

iseeh hujakosea mkuu,upo sahihi 100%.ninachoweza kukuambia ni kwamba hatujuani.nashukur kwa ushaur mzur nitaufanyia kazi.
 
Unapenda vya bure(kwa m/me ni laana hiyo) mtoto wa kiume wa kiafrika kulelewa na m/ke ni ukiritimba na upu.mbavu uliokithiriii...

Stand on u own foot, ukikomaa utaenda USA kwa jasho lako, na ndipo utaenjoy zaidi as utafurahi pa1 na family yako...

hahahahah,hayo yote ni sababu hatujuani! Mkuu mimi napiga kazi kwenye international organisation ya kimarekani ni professional job sasa uliza take home yangu!kupost hivo nilikua nataka ushauri na sio kwamba huyu binti nilienane siwez kumwacha.
 
Unachati na Emeka Ukechukwu, wakati wa kufanya mipango ya visa, utaambiwa utume dola 200 kwa ajili ya kufanyiwa mipango ya visa. Mwee mapenzi gani hayo yamekaa kama bongo movie

mkuu mambo ya internet sijaanza kuyajua jana au leo ni muda mrefu sana na kila siku nashinda net.ishu za scammers nazijua kuliko wewe unavojua.ni hilo tu.
 
Sometime Vitu Vingine Hata Kama Vizuri Kwa Kiasi Gani Ni Busara Kuviacha Vipite Haswa Kwa Given Situation Kama Yako. Ni Ujinga Wa Hali Ya Juu Kumkimbia Au Kumuingiza Katika System Ya Wazaz Wa Kambo Kwa Invitation Za Kitoto Namna Hiyo, Stand As A Perfect Man Kaka,
 
umesikia usa umedata,embu tunza mimba hiyo thinking capacity za wengine sijui ziko vipi jamani?
 
Shukrani lol!!!! Nitajitahidi kuishi ndani ya mipaka ya heshima hii kubwa...lakini kule jukwaani lazima nikuchome kumoyo! Oops!!!! Nitakuwa nawalenga Nzi na Bulldog weye ukisoma basi usininunie lol!! ujue sijakulenga weye. 🙂

Hahaha!! Kuanzia leo utaitwa WISEMAN.......lol
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom