Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,384
Unachati na Emeka Ukechukwu, wakati wa kufanya mipango ya visa, utaambiwa utume dola 200 kwa ajili ya kufanyiwa mipango ya visa. Mwee mapenzi gani hayo yamekaa kama bongo movie
Igweeeeeeeeee.......