Milioni 2.5 ndio za kumtoa mtu uhai?Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa
Nimechanganyikiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa milioni 2.5 yaan milioni mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
Na mimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana
Kila siku naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehemu tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njiani vituko mara hivi kugombana akafikia kauli mimi naruka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika home, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 usiku ndo imetokea tena karuka kwenye lami
Maswali :
Najiuliza huyu mwanamke Ana strees zake za madeni anataka kunipa kesi ya mauaji au ndo wivu ?
Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawahi tokea hii
Ushauri wenu ndugu zangu
Tunawaua vipi wakati ni ujinga wenu wenyewe sasa mtu na akili zako unarukaje kwenye gari linalotembea ?Ila wanamme mtaacha lini kutuua?uliwezaje kuondoka kwenye tukio Kama Hilo ukamuacha binadamu mwenzio hapo?Tena unaedai unampenda?
Pole umeoa mchagga au unaishi naye tu? Yaani wewe ni zoba kichizi, demu kala milioni 2 na nusu na mpenzi wake eti leo hii anakushawishi uweke gari lako bond ili umlipie lile deni, una akili kweli wewe? Naenda kukushitaki Ustawi wa Jamii kwa kutudhalilisha wanaume tunaojitambua.Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa
Nimechanganyikiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa milioni 2.5 yaan milioni mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
Na mimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana
Kila siku naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehemu tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njiani vituko mara hivi kugombana akafikia kauli mimi naruka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika home, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 usiku ndo imetokea tena karuka kwenye lami
Maswali :
Najiuliza huyu mwanamke Ana strees zake za madeni anataka kunipa kesi ya mauaji au ndo wivu ?
Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawahi tokea hii
Ushauri wenu ndugu zangu
[emoji19]Pole umeoa mchagga au unaishi naye tu? Yaani wewe ni zoba kichizi, demu kala milioni 2 na nusu na mpenzi wake eti leo hii anakushawishi uweke gari lako bond ili umlipie lile deni, una akili kweli wewe? Naenda kukushitaki Ustawi wa Jamii kwa kutudhalilisha wanaume tunaojitambua.
Yah mkuuUyo mwanamke yupo na depression msaidie kadri uwezavyo,ni mchaga wa wapi nipe jibu la swali hili tafadhali,
Inahitaji roho na pesa kudate nNa dada zangu hawa, wanawivu halafu mapenz ziro ila wakipenda wamependa
Cha msingi usiuze gari we msaidie kwa njia ingine ila nawe katili alivyokuambia anaruka ungepaki gari pembeni ungemwambia shuka, au ungemlamba vibao viwili vitakatifu akili ikae sawa
Vipi aliponaa? Mnaendelea kuwasiliana au imekuwaje mkuu???Yah mkuu
Kwanini hukusimama sasa dahHabar wakuu, naombeni ushauli wakubwa
Nimechanganyikiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa milioni 2.5 yaan milioni mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
Na mimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana
Kila siku naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehemu tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njiani vituko mara hivi kugombana akafikia kauli mimi naruka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika home, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 usiku ndo imetokea tena karuka kwenye lami
Maswali :
Najiuliza huyu mwanamke Ana strees zake za madeni anataka kunipa kesi ya mauaji au ndo wivu ?
Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawahi tokea hii
Ushauri wenu ndugu zangu
Msaidie mlipe madeniHabar wakuu, naombeni ushauli wakubwa
Nimechanganyikiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa milioni 2.5 yaan milioni mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
Na mimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana
Kila siku naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehemu tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njiani vituko mara hivi kugombana akafikia kauli mimi naruka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika home, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 usiku ndo imetokea tena karuka kwenye lami
Maswali :
Najiuliza huyu mwanamke Ana strees zake za madeni anataka kunipa kesi ya mauaji au ndo wivu ?
Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawahi tokea hii
Ushauri wenu ndugu zangu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] We jamaaUna umri gani?badala ya kumsaidia mpenzi wako unakimbilia kuomba ushauri uku,bila shaka wote mmelewa
Nahisi jamaa alijua utani tu, kuwa mwanamke wake alikua anatania kuwa naruka sasa amekutana na aliejitoa ufahamu akaruka kweli , its happen mna hasira sana wanawake mnaweza fanya maajabu ili uaminiki kwenye mapenziIla wanamme mtaacha lini kutuua?uliwezaje kuondoka kwenye tukio Kama Hilo ukamuacha binadamu mwenzio hapo?Tena unaedai unampenda?
Sasa utani huo vipi na kaona kabisa mzigo upo nje ya gari?Hawa wote wawili inaoneka walikunywa vitu vigumuNahisi jamaa alijua utani tu, kuwa mwanamke wake alikua anatania kuwa naruka sasa amekutana na aliejitoa ufahamu akaruka kweli , its happen mna hasira sana wanawake mnaweza fanya maajabu ili uaminiki kwenye mapenzi
Sasa siupokee, mpaka ma mkwe anakujua na namba yako umekwisha, kitakacho mtokea huyu mwanamke imekula kwako siku yoyote ile ni vyema mkaachana kwa amaniNaona namba ya mama ake inapiga, imepiga mara 4 sijapokea
Kweli kabisa mpendwa wanguSasa utani huo vipi na kaona kabisa mzigo upo nje ya gari?Hawa wote wawili inaoneka walikunywa vitu vigumu