Ushauri wenu kwa huu mtihani

Ushauri wenu kwa huu mtihani

Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii

Ushauli wenu ndugu zangu
Kwani wewe maoni yako ni yapi kwanza.....!?!?!?????.
 
Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii

Ushauli wenu ndugu zangu
Mchaga???
 
Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii

Ushauli wenu ndugu zangu
Kwakweli all I can say ni kwamba you are in for it.
Maana kama kapata janga ni ngumu kumweleza mtu hii story akaamini ukizingatia hata hukusimama.
Pole na usisahau kutupa mrejesho
 
Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii

Ushauli wenu ndugu zangu
Una kesi ya kujibu, ulimsukuma wewe nje ili afe hiyo ni "attempted murder" toa ushahidi kwamba hukumsukuma wewe........
 
Usisahau na Wapare
Kila mtu yupo kimaslahii ila tunatofautiana kwenye malengoo

1. Huenda mleta mada maslahi yako ni kumtumia akishajichokea un mdampo
2. Huenda bibie ana maslahi hatukataii ila ukila cha mtu na chako lazima kiliwe one day
3. Labda maisha mnayoishi mnaigiza na sio reality na ameshakulandanisha na mpenzi wake wa zamani na kujifunza jambo

anyway leo ni siku ya sabato - sali kwa imani yakoo na fanya maamuzi ukiwa mtulivu
 
Aiseee wewe ni muuaji unayechipukia au mkomavu kabisa,
Umemsukuma mtoto wa wenyewe nje ya gari iliyokua speed 40, kadondokea kwenye Lami kapiga yowe moja ukamuacha hapo agongwe na magari mengine ili ionekane kama ni ajali,

Una roho chafu sana, akifa huyo mwanamke kivuli chake kitakutesa sana.
 
Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii

Ushauli wenu ndugu zangu
Andika "USHAURI" na sio "USHAULI" ukibadilisha hapo nitakushauri
 
Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii

Ushauli wenu ndugu zangu

Kimbia. Huyo siyo kabisa na umeanza kuona sababu ya watangulizi wako kukimbia lindo.
 
Sio Ushauli ni Ushauri
Sio Kuluka -Kuruka

Matumizi ya R na L nadhani tungeanzia hapo lakini isiwe kesi nisije shushiwa matusi bure , ngoja tusubiri wakupe huo Ushauli
We Acha tuuh mpaka sasa sijui kitu na simu haipatikani
 
Back
Top Bottom