Ushauri wenu kuhusu huyu binti

Ushauri wenu kuhusu huyu binti

Nilishawahi kutana wa dizaini hio huwa natuoa kule .

Sina muda wa kuimbiana kuch kuch

Kama haupo serious Sina mda mchafu na wewe

Hatujazaliwa tumbo moja ebooh!!!
 
Rais Magufuli aliwahi sema, "kuna maneno mawili tu KA-TA hata kama ni jeshini", na mimi nasema KA-TA hata kama unampenda sana hakuna mke hapo kuna demu wa masela na hakupendi kabisa.
 
Ondoa malengo ya kumuoa, kama unaweza piga mambo tu lakini usimuweke kwenye future yako. Mchukulie kama alivyokuonyesha.
 
Unamuachaje wakati amekufanya wa akiba, ukiondoka akichwa kabisa atakosa mtu w uhakika na ushaahidi ndoa tena.

Vipi lakini umekulamo? Ww nenda nae kama atakavyo tu. Jitafunie papuchi yako mkuu saaafi, huku unatafuta kwingine kwa kuweka kambi ya hadi uzeeni.😀
 
Sisi Tubaki Kwenye Mchakato Wa Kupunguza Mwili, Tupate Shape Nzuri Kuliko Hao Wa Pisi Kali!!
Kabisa mkuuu... SIKU nikiibuka beach na bikini... Tumbo flat. Kabisa nawachora wenye vitambi
 
Kuna binti mmoja nilimtongoza tukaelewana na lengo langu ni kuoa maana mi mambo ya pisi kali kwasasa hayana nafasi zaidi nahitaji mke kwasasa na si vinginevyo, sasa tulianza vema tukawa tunawasliana bt kuna kipindi nikahisi mabadiliko nikawa simuelewa namtumia sms mpk aje ajibu ni kesho yake au asijbu kabisa, nikipiga simu pia haipokelewi. Niliamua kumuandikia ujumbe wa kuvunja uhusiano huo. Akalalamika nikamwambia sababu akasema poa.

Ikapita miezi miwili sa mwezi uliopita mwishoni nikaona namba mpya inapiga alfajiri nikiwa najiandaa kwenda kazini skupokea ilipokatika ikaingia sms kwa namba nyngne ikisema mambo pia skujibu nilipotulia nikaamua kuzicheck zle namba kujua ni nani, nlipozicheck nikakuta zina majina ya huyo binti ndo nikamjbu poa ye akapga nikapokea akaanza ooh amenimiss sjui nini

Nikamwambia ngoja mda wa breakfast takupgia kweli nlimpgia akaomba turudiane na amejirekebisha kiukweli mi namkubali sn natamani awe mke wng ingawa mimi mwanamke simpi nafasi ya kunipeleka nikiona unazngua napga chn nafuta namba bs nilimkubalia, uhusiano ukaanza upya sa cha ajabu tulipoanza upya mwanzoni hata npge simu mda gani atapokea kama ni sms atajbu faster mara mabadiliko yakaanza upya tena kupokea cm ikawa mpk yeye anitafute kujbu sms mpk yeye aamue kumulza akajbu ooh anabanwa sn kwao mmh nikamulza wewe umri huo mpk umehitimu diploma ya clinical officer bado eti kupokea tu cm hapo kwenu ni shda?

Akasema atajirekebsha sasa wiki iliyopita nilimpgia cm mida ya saa 4 usku kama ilivyokuwa kawaida yetu tukaongea akasema anasnzia sjui nn nikamwambia poa usku mwema, sa nlikuwa nafanya kaz ya ofs ni kama kuna sauti ikanambia nimpgie ile kupga namba ya kwanza haipatikani ya pili iko busy anaongea na mtu nikasubiri kama dk 20 nikapga tena nikakuta iko busy hapo inaelekea saa 6 usku nikamtext ukmalza ongea niambie nikupgie kweli akanitumia ujumbe nimpgie, nikampgia ksha nikamulza alikuwa anaongea na nani usku wote huu na ukzngatia alinambia anasinzia nikakatsha maongez mida ya saa 4 akajbu eti ooh ni dada ndo ameweka line yake humu kwny cm yng ndo alikuwa anaongea.

Mmh akawa kajchanganya maana iliyokuwa busy ni line yake si ya dada ake anayoisema. Nikamwambia staki uwongo kbs sema ukweli akajbu ooh we kosa moja tu unachukia nikamwambia mlango uko wazi kama huwez kuwa na msimamo bado unahtaji kudanga tembea.

Akajbu we kdogo tu unataka kuniacha wakati mi nakupenda sana nikakata simu na nikaizma nikalala nlpoamka asbh zkaingia sms zake skusoma nikafuta zote nikafuta na namba zake zote nikatulia nae mpk leo katulia.

Wakuu hv mtu kama huyu mnadhani ni wa aina gani bnafsi hainiumi maana staki kuendekeza kupenda mtoto wa mtu nisje ishia jera zaidi aliniambia anaumwa one day nikamtumia elf 10 bt nlitoa tu kama nimeipoteza si kutegemea lolote.

Naomba maoni yenu je huyu binti anafaa kweli? Hakika kupata mke si mchezo labda ma pisi kali yanayodhani mapenz ni biashara. Asanteni
mkuu umenifurahisha ulivosema we Sio muumini wa pisi kali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom