zile documents ni za uongo? wanahabari wamethibisha pia pesa zilifika BOT nao waongo? kama dr. shika ni muongo; kwanini jeshi lisiwakamate wanahabr wanaomhoji na kurusha taarifa?dr shika namuona kama msaniii
anatumika kutuvuruga tu tusiongelee ya maana kama msamaha wa lulu
Sio nyingi ni kidogo tu kama dola za Kimarekani millioni 60. Tone la kwanza la mvua maana mvua yenyewe haijaanza kunyesha.Huyu mzee kapata shi ngapi asee??
Mbona mnatutisha USD 60 million?Sio nyingi ni kidogo tu kama dola za Kimarekani millioni 60. Tone la kwanza la mvua maana mvua yenyewe haijaanza kunyesha.
Hata wewe huna tofauti na Dr. Shika!habari;
(Naomba moderator Uzi huu msiuunganishe na mada zingine)
kabla ya yote; niseme kwa dhati kabisa Mimi binafsi ningepatiwa jukumu la kumchunguza Dr. shika hata kwa siku moja tu, Nisingeweza kuja na majibu kama haya kwamba ( dr. shika si lolote si chochote ni wa kupuuzwa...)
Kusema ukweli kabisa kauli kama hii imenishawishi nitoe ushauri kwa jeshi la polisi Kwa tukio la dr. shika watu wawajibishwe kwa kushushwa vyeo au kubadilishwa vitengo pia kuna haja jeshi LIAJILI WATAALAM WENGINE AMA LITOE MAFUNZO KWA MAAFISA ILI KUBORESHA INTELIJENSIA!
TUKIO LA DR. SHIKA
Dr. shika alishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano kutokana na tukio la kuvuruga mnada wa nyumba za Lugumi, Ambapo pamoja mamlaka lililonayo jeshi lilijiridhisha paspo shaka yeyote na kutamkwa hadharani kwamba Dr. shika alikuwa si chochote.
DR. SHIKA ANENA
Dr shika kupitia vyombo mbalimbali kathibitisha wiki iliyopita kwamba tayali kapokea tone la kwanza la mabilion ya fedha kwa ushahidi na documents!
JE, KUNA HAJA YA MAAFISA WA POLISI KUWAJIBISHWA?
Ndiyo; Kutokana na kauli ya jeshi la polisi kupitia kwa wasemaji wake, kuna kila sababu ya kuwajibika kutokana na kutoa taarifa za uongo.
Taarifa ya mambosasa ya kumuita Dr. shika si lolote, Ni moja ya taarifa ambayo ingehatarisha usalama wa dr. shika,
pili ni taarifa inayokiuka Katiba ya jamhuri juu ya udhalilishaji utu,
tatu ni taarifa inayotoa majibu na taswira pana juu ya uwezo mkubwa au mdogo wa kiuchunguzi uliopo kwa baadhi ya makamanda wetu ndani ya jeshi la polisi.
NNE taarifa ile inatoa mwanya wa kuhoji: Kama dr. shika alitajwa hadharani si lolote si chochote, Je, Hao watuhumiwa wengine tunaotangaziwa hadharani na kuonyeshwa kwenye luninga matukio mbalimbali Ukweli wao Upoje?
MWISHO!
Ili kuboresha Kuna kila sababu ya kuwaajibisha makamanda wote waliohusika sakata la dr.shika ama kwa kuwashusha vyeo vyao, ama kwa kuwahamisha vitengo kwa kushindwa kufanya kazi ya kipelelezi ipasavyo.
kwa taarifa ya jeshi la polisi Dr. shika maisha yake yalikuwa hatarini, kwa taarifa ya jeshi la polisi nchi ingekosa viwanda 30 vya dr. shika.
kwa taarifa ya jeshi la polisi watanzania wangekosa ajira n.k
NI WAKATI SASA JESHI LA POLISI LIACHANE NA UTARATIBU WA KUTANGAZA WATUHUMIWA HADHARANI PASIPO KUTHIBITISHWA!!!!
=========================
Dr shika akipata shilling million 60 tu atawehuka huu ni uongo wa kumpa kiki tu
Scam.habari;
(Naomba moderator Uzi huu msiuunganishe na mada zingine)
kabla ya yote; niseme kwa dhati kabisa Mimi binafsi ningepatiwa jukumu la kumchunguza Dr. shika hata kwa siku moja tu, Nisingeweza kuja na majibu kama haya kwamba ( dr. shika si lolote si chochote ni wa kupuuzwa...)
Kusema ukweli kabisa kauli kama hii imenishawishi nitoe ushauri kwa jeshi la polisi Kwa tukio la dr. shika watu wawajibishwe kwa kushushwa vyeo au kubadilishwa vitengo pia kuna haja jeshi LIAJILI WATAALAM WENGINE AMA LITOE MAFUNZO KWA MAAFISA ILI KUBORESHA INTELIJENSIA!
TUKIO LA DR. SHIKA
Dr. shika alishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano kutokana na tukio la kuvuruga mnada wa nyumba za Lugumi, Ambapo pamoja mamlaka lililonayo jeshi lilijiridhisha paspo shaka yeyote na kutamkwa hadharani kwamba Dr. shika alikuwa si chochote.
DR. SHIKA ANENA
Dr shika kupitia vyombo mbalimbali kathibitisha wiki iliyopita kwamba tayali kapokea tone la kwanza la mabilion ya fedha kwa ushahidi na documents!
JE, KUNA HAJA YA MAAFISA WA POLISI KUWAJIBISHWA?
Ndiyo; Kutokana na kauli ya jeshi la polisi kupitia kwa wasemaji wake, kuna kila sababu ya kuwajibika kutokana na kutoa taarifa za uongo.
Taarifa ya mambosasa ya kumuita Dr. shika si lolote, Ni moja ya taarifa ambayo ingehatarisha usalama wa dr. shika,
pili ni taarifa inayokiuka Katiba ya jamhuri juu ya udhalilishaji utu,
tatu ni taarifa inayotoa majibu na taswira pana juu ya uwezo mkubwa au mdogo wa kiuchunguzi uliopo kwa baadhi ya makamanda wetu ndani ya jeshi la polisi.
NNE taarifa ile inatoa mwanya wa kuhoji: Kama dr. shika alitajwa hadharani si lolote si chochote, Je, Hao watuhumiwa wengine tunaotangaziwa hadharani na kuonyeshwa kwenye luninga matukio mbalimbali Ukweli wao Upoje?
MWISHO!
Ili kuboresha Kuna kila sababu ya kuwaajibisha makamanda wote waliohusika sakata la dr.shika ama kwa kuwashusha vyeo vyao, ama kwa kuwahamisha vitengo kwa kushindwa kufanya kazi ya kipelelezi ipasavyo.
kwa taarifa ya jeshi la polisi Dr. shika maisha yake yalikuwa hatarini, kwa taarifa ya jeshi la polisi nchi ingekosa viwanda 30 vya dr. shika.
kwa taarifa ya jeshi la polisi watanzania wangekosa ajira n.k
NI WAKATI SASA JESHI LA POLISI LIACHANE NA UTARATIBU WA KUTANGAZA WATUHUMIWA HADHARANI PASIPO KUTHIBITISHWA!!!!
=========================
Mkuu wewe acha tu!.Dr shika akipata shilling million 60 tu atawehuka huu ni uongo wa kumpa kiki tu