USHAURI: Wasemaji wa Polisi kuna la kujifunza hapa, mlisema Dkt. Shika si chochote si lolote ni wa kupuuzwa!

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,252
21,345
TUKIO LA DR. SHIKA
Dr. shika alishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano kutokana na tukio la kuvuruga mnada wa nyumba za Lugumi, Ambapo pamoja mamlaka lililonayo jeshi lilijiridhisha paspo shaka yeyote na kutamkwa hadharani kwamba Dr. shika alikuwa si chochote.

DR. SHIKA ANENA
Dr shika kupitia vyombo mbalimbali kathibitisha wiki iliyopita kwamba tayali kapokea tone la kwanza la mabilion ya fedha kwa ushahidi na documents!
KAULI YA B.O.T
Msemaji wa B.O.T kakanusha kwamba Hawana taarifa zozote juu ya ujio wa pesa, na hawajapokea pesa yeyote kama ilivyoelezwa na dr. shika, kwahiyo taarifa za dr. shika zipuuzwe

JE, KUNA HAJA SASA DR.SHIKA ADHIBITIWE?
Ndiyo; Kutokana na sintofahamu na taharuki inayosababishwa na kauli za dr. shika;
ipo haja sasa Jeshi la polisi lipige marufuku kwa chombo chochote cha habari kurusha au kutangaza mahojiano yeyote ya Dr. shika.
 
dr shika namuona kama msaniii

anatumika kutuvuruga tu tusiongelee ya maana kama msamaha wa lulu
zile documents ni za uongo? wanahabari wamethibisha pia pesa zilifika BOT nao waongo? kama dr. shika ni muongo; kwanini jeshi lisiwakamate wanahabr wanaomhoji na kurusha taarifa?
 
Kuna bro wangu mmoja alikuwa tapeli maarufu sana, aliniambia kitu kimoja, mjini wajinga hawaishi

Yani umeamua kumuamini dk shika kabisa?upuuzi mimi huwa siamini mtu akisema mpaka nithibitishe kwa njia zangu, si quote mtu fulani kasema nini nitasema on my own experience...hapa ndio watu mnapotapeliwa
 
Ngoja tusubirie na ile sinema ya nabii tito!
Nabii akitoka sero atatuthibitishia zaidi yale aliyokuwa akihubiri...
 
habari;
(Naomba moderator Uzi huu msiuunganishe na mada zingine)

kabla ya yote; niseme kwa dhati kabisa Mimi binafsi ningepatiwa jukumu la kumchunguza Dr. shika hata kwa siku moja tu, Nisingeweza kuja na majibu kama haya kwamba ( dr. shika si lolote si chochote ni wa kupuuzwa...)
Kusema ukweli kabisa kauli kama hii imenishawishi nitoe ushauri kwa jeshi la polisi Kwa tukio la dr. shika watu wawajibishwe kwa kushushwa vyeo au kubadilishwa vitengo pia kuna haja jeshi LIAJILI WATAALAM WENGINE AMA LITOE MAFUNZO KWA MAAFISA ILI KUBORESHA INTELIJENSIA!

TUKIO LA DR. SHIKA
Dr. shika alishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano kutokana na tukio la kuvuruga mnada wa nyumba za Lugumi, Ambapo pamoja mamlaka lililonayo jeshi lilijiridhisha paspo shaka yeyote na kutamkwa hadharani kwamba Dr. shika alikuwa si chochote.

DR. SHIKA ANENA
Dr shika kupitia vyombo mbalimbali kathibitisha wiki iliyopita kwamba tayali kapokea tone la kwanza la mabilion ya fedha kwa ushahidi na documents!
JE, KUNA HAJA YA MAAFISA WA POLISI KUWAJIBISHWA?
Ndiyo; Kutokana na kauli ya jeshi la polisi kupitia kwa wasemaji wake, kuna kila sababu ya kuwajibika kutokana na kutoa taarifa za uongo.
Taarifa ya mambosasa ya kumuita Dr. shika si lolote, Ni moja ya taarifa ambayo ingehatarisha usalama wa dr. shika,
pili ni taarifa inayokiuka Katiba ya jamhuri juu ya udhalilishaji utu,
tatu ni taarifa inayotoa majibu na taswira pana juu ya uwezo mkubwa au mdogo wa kiuchunguzi uliopo kwa baadhi ya makamanda wetu ndani ya jeshi la polisi.
NNE taarifa ile inatoa mwanya wa kuhoji: Kama dr. shika alitajwa hadharani si lolote si chochote, Je, Hao watuhumiwa wengine tunaotangaziwa hadharani na kuonyeshwa kwenye luninga matukio mbalimbali Ukweli wao Upoje?
MWISHO!
Ili kuboresha Kuna kila sababu ya kuwaajibisha makamanda wote waliohusika sakata la dr.shika ama kwa kuwashusha vyeo vyao, ama kwa kuwahamisha vitengo kwa kushindwa kufanya kazi ya kipelelezi ipasavyo.

kwa taarifa ya jeshi la polisi Dr. shika maisha yake yalikuwa hatarini, kwa taarifa ya jeshi la polisi nchi ingekosa viwanda 30 vya dr. shika.
kwa taarifa ya jeshi la polisi watanzania wangekosa ajira n.k
NI WAKATI SASA JESHI LA POLISI LIACHANE NA UTARATIBU WA KUTANGAZA WATUHUMIWA HADHARANI PASIPO KUTHIBITISHWA!!!!
=========================
Hata wewe huna tofauti na Dr. Shika!
 
Hata mimi nasema hizo ni kiki tu. Kwani kuna utaratibu wa kila mtu awe anatangaza kipato chake? Kila mtu akitangaza hapatatosha.
 
habari;
(Naomba moderator Uzi huu msiuunganishe na mada zingine)

kabla ya yote; niseme kwa dhati kabisa Mimi binafsi ningepatiwa jukumu la kumchunguza Dr. shika hata kwa siku moja tu, Nisingeweza kuja na majibu kama haya kwamba ( dr. shika si lolote si chochote ni wa kupuuzwa...)
Kusema ukweli kabisa kauli kama hii imenishawishi nitoe ushauri kwa jeshi la polisi Kwa tukio la dr. shika watu wawajibishwe kwa kushushwa vyeo au kubadilishwa vitengo pia kuna haja jeshi LIAJILI WATAALAM WENGINE AMA LITOE MAFUNZO KWA MAAFISA ILI KUBORESHA INTELIJENSIA!

TUKIO LA DR. SHIKA
Dr. shika alishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano kutokana na tukio la kuvuruga mnada wa nyumba za Lugumi, Ambapo pamoja mamlaka lililonayo jeshi lilijiridhisha paspo shaka yeyote na kutamkwa hadharani kwamba Dr. shika alikuwa si chochote.

DR. SHIKA ANENA
Dr shika kupitia vyombo mbalimbali kathibitisha wiki iliyopita kwamba tayali kapokea tone la kwanza la mabilion ya fedha kwa ushahidi na documents!
JE, KUNA HAJA YA MAAFISA WA POLISI KUWAJIBISHWA?
Ndiyo; Kutokana na kauli ya jeshi la polisi kupitia kwa wasemaji wake, kuna kila sababu ya kuwajibika kutokana na kutoa taarifa za uongo.
Taarifa ya mambosasa ya kumuita Dr. shika si lolote, Ni moja ya taarifa ambayo ingehatarisha usalama wa dr. shika,
pili ni taarifa inayokiuka Katiba ya jamhuri juu ya udhalilishaji utu,
tatu ni taarifa inayotoa majibu na taswira pana juu ya uwezo mkubwa au mdogo wa kiuchunguzi uliopo kwa baadhi ya makamanda wetu ndani ya jeshi la polisi.
NNE taarifa ile inatoa mwanya wa kuhoji: Kama dr. shika alitajwa hadharani si lolote si chochote, Je, Hao watuhumiwa wengine tunaotangaziwa hadharani na kuonyeshwa kwenye luninga matukio mbalimbali Ukweli wao Upoje?
MWISHO!
Ili kuboresha Kuna kila sababu ya kuwaajibisha makamanda wote waliohusika sakata la dr.shika ama kwa kuwashusha vyeo vyao, ama kwa kuwahamisha vitengo kwa kushindwa kufanya kazi ya kipelelezi ipasavyo.

kwa taarifa ya jeshi la polisi Dr. shika maisha yake yalikuwa hatarini, kwa taarifa ya jeshi la polisi nchi ingekosa viwanda 30 vya dr. shika.
kwa taarifa ya jeshi la polisi watanzania wangekosa ajira n.k
NI WAKATI SASA JESHI LA POLISI LIACHANE NA UTARATIBU WA KUTANGAZA WATUHUMIWA HADHARANI PASIPO KUTHIBITISHWA!!!!
=========================
Scam.
Screenshot_20180523-181736.jpg
Screenshot_20180523-182409.jpg
Screenshot_20180523-182507.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hamstahili hata kuwepo Jf kwa kuamini upuuzi au inawezekana upo kwenye mission
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom