TUKIO LA DR. SHIKA
Dr. shika alishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano kutokana na tukio la kuvuruga mnada wa nyumba za Lugumi, Ambapo pamoja mamlaka lililonayo jeshi lilijiridhisha paspo shaka yeyote na kutamkwa hadharani kwamba Dr. shika alikuwa si chochote.
DR. SHIKA ANENA
Dr shika kupitia vyombo mbalimbali kathibitisha wiki iliyopita kwamba tayali kapokea tone la kwanza la mabilion ya fedha kwa ushahidi na documents!
KAULI YA B.O.T
Msemaji wa B.O.T kakanusha kwamba Hawana taarifa zozote juu ya ujio wa pesa, na hawajapokea pesa yeyote kama ilivyoelezwa na dr. shika, kwahiyo taarifa za dr. shika zipuuzwe
JE, KUNA HAJA SASA DR.SHIKA ADHIBITIWE?
Ndiyo; Kutokana na sintofahamu na taharuki inayosababishwa na kauli za dr. shika;
ipo haja sasa Jeshi la polisi lipige marufuku kwa chombo chochote cha habari kurusha au kutangaza mahojiano yeyote ya Dr. shika.
Dr. shika alishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano kutokana na tukio la kuvuruga mnada wa nyumba za Lugumi, Ambapo pamoja mamlaka lililonayo jeshi lilijiridhisha paspo shaka yeyote na kutamkwa hadharani kwamba Dr. shika alikuwa si chochote.
DR. SHIKA ANENA
Dr shika kupitia vyombo mbalimbali kathibitisha wiki iliyopita kwamba tayali kapokea tone la kwanza la mabilion ya fedha kwa ushahidi na documents!
KAULI YA B.O.T
Msemaji wa B.O.T kakanusha kwamba Hawana taarifa zozote juu ya ujio wa pesa, na hawajapokea pesa yeyote kama ilivyoelezwa na dr. shika, kwahiyo taarifa za dr. shika zipuuzwe
JE, KUNA HAJA SASA DR.SHIKA ADHIBITIWE?
Ndiyo; Kutokana na sintofahamu na taharuki inayosababishwa na kauli za dr. shika;
ipo haja sasa Jeshi la polisi lipige marufuku kwa chombo chochote cha habari kurusha au kutangaza mahojiano yeyote ya Dr. shika.