cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,679
- 4,270
Habari zenu wapendwa.
Mimi Niko salama.
Ninakuja kwenu nikiwaomba wote wenye uzoefu wanisaidie ushauri.
Ninatamani kuhamia maeneo ya migodini nikafanyie biashara huko.
Nimechoka pia Kuishi ukanda wa pwani ninatamani maisha mapya na watu wapya.
Hata kama nitaajiriwa pia huko sio mbaya.
Sijawahi Kuishi huko ila wengi wamekuwa wakisifia kwamba mzunguko ni mzuri huko.
Sasa ninaomba mnisaidie Kati ya
Geita,
Kahama na
Nyamongo
ni wapi pazuri kwa mfanyabiashara?
Na ni biashara gani halali ninaweza kufanya nipate mzunguko mzuri angalau niendeshe maisha.?
Sina mtaji mkubwa ni mtaji mdogo tu wa wajasiriamali wa kawaida.
Ninatanguliza shukrani zangu kwenu nyote mtakaoguswa na hili.
Mimi Niko salama.
Ninakuja kwenu nikiwaomba wote wenye uzoefu wanisaidie ushauri.
Ninatamani kuhamia maeneo ya migodini nikafanyie biashara huko.
Nimechoka pia Kuishi ukanda wa pwani ninatamani maisha mapya na watu wapya.
Hata kama nitaajiriwa pia huko sio mbaya.
Sijawahi Kuishi huko ila wengi wamekuwa wakisifia kwamba mzunguko ni mzuri huko.
Sasa ninaomba mnisaidie Kati ya
Geita,
Kahama na
Nyamongo
ni wapi pazuri kwa mfanyabiashara?
Na ni biashara gani halali ninaweza kufanya nipate mzunguko mzuri angalau niendeshe maisha.?
Sina mtaji mkubwa ni mtaji mdogo tu wa wajasiriamali wa kawaida.
Ninatanguliza shukrani zangu kwenu nyote mtakaoguswa na hili.