PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,170
Re.kichwa cha Habari hapo juu, ni vyema Mkaaribu ratiba zenu na vipindi vyenu vyote, kwa masaa yote Mpaka uchaguzi uishe, mmweke Dr slaa Mwanzo wa Asubui mpaka usiku.
Waleteni na wengine. Wengi Mtukane Lowassa Mwanzo wa Asubui mapaka jioni, kufanya kazi mliyotumwa na Mwenyekiti wenu Bw Antony Dialo na Maccm wenzake.
Ila Mjue kwamba mabadiliko haya hepukiki safari hii, kwa propaganda kwa matusi kwa kejeli. Lowassa ndiye Rais.
Sasa atakapo apishwa sijui mtatafuta shimo la kuingilia na itakuwa fundisho kwa wengine wenye tabia kama za kwenu, kufanya propaganda kwa chuki zenu.
Waleteni na wengine. Wengi Mtukane Lowassa Mwanzo wa Asubui mapaka jioni, kufanya kazi mliyotumwa na Mwenyekiti wenu Bw Antony Dialo na Maccm wenzake.
Ila Mjue kwamba mabadiliko haya hepukiki safari hii, kwa propaganda kwa matusi kwa kejeli. Lowassa ndiye Rais.
Sasa atakapo apishwa sijui mtatafuta shimo la kuingilia na itakuwa fundisho kwa wengine wenye tabia kama za kwenu, kufanya propaganda kwa chuki zenu.