wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,865
Wakongo hawana shida baina yao, they love each other, they love their country. Shida ni Paul Kagame na wenzake na wale mabeberu walionyofoa fuse kwenye ubongo wa kagame ili wamtumie kuvuruga kanda
Wala hujui ulisemalo kuhusu mgogoro wa DRC, wala wao hawana mgogoro wa ndani kwa ndani, ndio maana unaona vita ipo sana sana sehemu moja tu ya nchi, mashariki ya congo, ambako ni mpaka wa congo na nchi za uganda na Rwanda.shida kubwa ya congo kwanza ni uongozi mbovu, ndio unapelekea hao maadui kutoka nje, kuweza kuingia na kufanya hayo wanayofanya, na umoja wa mataifa bado haujaamua kuisaidia ipasavyo , kutokana na baadhi ya nchi za ulaya kufaidika na mgogoro huo.sasa mnapowalaumu wananchi wa congo eti wanakaa na kucheza ndombolo, hawajitambui sio kweli.ndio maana kwa sasa matumaini pekee waliyonayo ni kwa huyu rais mpya tshekedi, kama ataweza kuyaondoa mabaki ya joseph kabila , kwenye utawala, anaweza jaribu kuonyesha tofauti.
Tena kwa taarifa yako, licha ya matatizo ya kiusalama waliyonayo, kwa pato la mtu mmoja mmoja wanakuzidi wewe mwenye utulivu kwa miaka 60!!! wewe mwenye utulivu wa miaka 60 umeshindwaje kuikomboa nchi yako?unafikilia kwanini biashara ya kariakoo imefikia hapo ilipo baada ya wacongoman, kuacha kuja kufanya biashara Tz?linganisha thamani ya pesa yao, na ya kwako, uone, ipi yenye thamani, licha ya matatizo waliyo nayo!!Wakongo mpk waache kukata mauno na ndombolo za soro na kuja kusuka nywele kwny saluni za dada zetu ndipo akili itawakaa kichwani.
Vijana wa kikongo wote dreams zao ni kuishi paris na kua raia wa france/Germany then nani aje kuwakombolea nchi yao?
Tena kwa taarifa yako, licha ya matatizo ya kiusalama waliyonayo, kwa pato la mtu mmoja mmoja wanakuzidi wewe mwenye utulivu kwa miaka 60!!! wewe mwenye utulivu wa miaka 60 umeshindwaje kuikomboa nchi yako?unafikilia kwanini biashara ya kariakoo imefikia hapo ilipo baada ya wacongoman, kuacha kuja kufanya biashara Tz?linganisha thamani ya pesa yao, na ya kwako, uone, ipi yenye thamani, licha ya matatizo waliyo nayo!!
Tena ina watu wenye furaha licha ya kushinda vitani , kuliko wewe unayeishi kwenye utulivu(wala sio amani)
Mcongo povu linakumwagika!!!!Tena kwa taarifa yako, licha ya matatizo ya kiusalama waliyonayo, kwa pato la mtu mmoja mmoja wanakuzidi wewe mwenye utulivu kwa miaka 60!!! wewe mwenye utulivu wa miaka 60 umeshindwaje kuikomboa nchi yako?unafikilia kwanini biashara ya kariakoo imefikia hapo ilipo baada ya wacongoman, kuacha kuja kufanya biashara Tz?linganisha thamani ya pesa yao, na ya kwako, uone, ipi yenye thamani, licha ya matatizo waliyo nayo!!
Tena ina watu wenye furaha licha ya kushinda vitani , kuliko wewe unayeishi kwenye utulivu(wala sio amani)
Empty set katika ubora wake, yaani kuandika juu ya DRC, tayari mimi ni MKONGO?!!Ina maana nikiandika mazuri ya mama yako tayari mimi ni.....akili fupi hizo!!Mcongo povu linakumwagika!!!!
Hiyo Congo yenye amani na furaha ingekuwa inakimbiwa na raia wake kila siku!!?? Nenda makambi ya wakimbizi ukawaone wenzako wanavyoishi maisha duni then ujiulize kama kwao maisha safi kwanini wakubali taabu na manyanyaso kiasi kile!!??? Kifupi wakongo mmejawa sifa za kijinga lkn kiuhalisia mna maisha duni na magumu sana, msipojitafakari na kuchukua hatua mtaendelea kulialia miaka yote.
Kuhusu thamani ya pesa ni issue ya kitaalam sana na haiko hivyo unavyofikiria. Fedha yenye thamani duniani ni
1. Fedha ya Kuwait
2. Fedha ya Bahrain
3. Fedha ya Oman
4. Fedha ya Jordan
Unataka kuniambia Kuwait au Oman wana uchumi mkubwa kuliko USA, Russia, Germany au England? Noa bongo yako kijana.
Mwisho kabisa nasisitiza Wakongo msipobadilika mtaendelea kuwa watumwa na wakimbizi maisha yenu yote.
Wakongo wameanza kuchapana hata kabla Kagame hajazaliwa,na wataendelea kuchapana mpk pale watakapoamua kuchakata ubongo na kumaliza matatizo yao.
Wakongo mpk waache kukata mauno na ndombolo za soro na kuja kusuka nywele kwny saluni za dada zetu ndipo akili itawakaa kichwani.
Vijana wa kikongo wote dreams zao ni kuishi paris na kua raia wa france/Germany then nani aje kuwakombolea nchi yao?
Hao wakata mauno na wasusi wa dada zetu huku saluni wanakuzidi uwezo wewe na sio mimi.
Nchi ikombolewe kwani imetekwa na nani?
Ni kweli Congo ina wananchi wenye amani sana na ndio maana MONUSCO iko kule kuendelea kuleta amani.
Afu huniambii kitu khs Congo naijua nje ndani,hizo story zako za kikuda kawapigie walugaluga wenzako.
Wanamuziki wa congo kusemea madhila ya nchi yao haiwezekani kamwe sababu wanaoleta hayo madhila ndio wafadhili wao wakuu kimuziki. Mf wakati wa Mobutu usingetegemea wanamuziki hao wakemee udikteta wakati mtoto wa mobutu, saadam hussein ndie aliyekuwa akiwapa pesa karibu top artist wote. Madikteta wote wa afrika ya kati na magharibi ni maswahiba wakubwa wa wanamuziki hao. Anzia obiang nguema, alpha nconde, outara, sasu ngueso, biya n.k. Kuna kikundi kinaitwa combattants kilijaribu kuwazuia wakongo wasifanye show ulaya sbb wanafadhiliwa na madikteta kama kabila huku raia wakiteseka. Kimezimishwa hiki kikundi. Matatizo ya kongo yatamalizwa na rais mzalendo kwa msaada wa jumuiya ya kimataifa.
Mcongo povu linakumwagika!!!!
Hiyo Congo yenye amani na furaha ingekuwa inakimbiwa na raia wake kila siku!!?? Nenda makambi ya wakimbizi ukawaone wenzako wanavyoishi maisha duni then ujiulize kama kwao maisha safi kwanini wakubali taabu na manyanyaso kiasi kile!!??? Kifupi wakongo mmejawa sifa za kijinga lkn kiuhalisia mna maisha duni na magumu sana, msipojitafakari na kuchukua hatua mtaendelea kulialia miaka yote.
Kuhusu thamani ya pesa ni issue ya kitaalam sana na haiko hivyo unavyofikiria. Fedha yenye thamani duniani ni
1. Fedha ya Kuwait
2. Fedha ya Bahrain
3. Fedha ya Oman
4. Fedha ya Jordan
Unataka kuniambia Kuwait au Oman wana uchumi mkubwa kuliko USA, Russia, Germany au England? Noa bongo yako kijana.
Mwisho kabisa nasisitiza Wakongo msipobadilika mtaendelea kuwa watumwa na wakimbizi maisha yenu yote.
Mkuu @ Gwapo Mwakatobe, nimesikiliza kipindi chenu cha maoni cha radio DW muda sio mrefu. Umenikosha Sana unaposema ikiwa wabunge wa Tanzania wanaona miaka 10 ya Magufuli haitoshi na wanataka wamwongezee muda, ni muujiza gani Felix Tshekedi ataifayia Africa ndani ya Mwaka moja akiwa mwenyekiti?
Umeishiwa hoja, tulia upigwe bomba.Empty set katika ubora wake, yaani kuandika juu ya DRC, tayari mimi ni MKONGO?!!Ina maana nikiandika mazuri ya mama yako tayari mimi ni.....akili fupi hizo!!
Tupia neno kuhusu mabeberu piaWakongo wameanza kuchapana hata kabla Kagame hajazaliwa,na wataendelea kuchapana mpk pale watakapoamua kuchakata ubongo na kumaliza matatizo yao.
Tuna Safari ndefuHakika umenisikia vizuri, nakushukuru sana. Tunahitaji mageuzi makubwa katika utendaji wa AU. Natamani kuifumua kabisa ili vyeo wanavyopeana viwe vya kuwajibika na si kuwa kama mapambo na/au maigizo.
Habari za fb, uje uzilete huku?!!jf sio fb, ambako watu unaweza walisha matango poli tu bila udadavua!!huku leta hoja ambayo unaweza itetea!!unakimbilia matusi!!,Umeishiwa hoja, tulia upigwe bomba.
We ni mwehu kumbe! Pole sana.Habari za fb, uje uzilete huku?!!jf sio fb, ambako watu unaweza walisha matango poli tu bila udadavua!!huku leta hoja ambayo unaweza itetea!!unakimbilia matusi!!,