Ushauri wangu kwa CHADEMA

Nawaza zaidi katiba hiyo itapatikana vipi? Je kuna watu wa kuongoza kupaza sauti? Wako imara? Taasisi zipi zinaweza simama sasa na kuomba haya?
 
Nawaza zaidi katiba hiyo itapatikana vipi? Je kuna watu wa kuongoza kupaza sauti? Wako imara? Taasisi zipi zinaweza simama sasa na kuomba haya?

Magufuli ameweza sana kutengeneza state of fear,hata kama walikuwepo watu imara sasa hivi watulivuuu LOLS...na hivi naskia wamejitoa kwenye mahakama ya kimataifa then hali inazidi kuwa mbaya
 
Nawaza zaidi katiba hiyo itapatikana vipi? Je kuna watu wa kuongoza kupaza sauti? Wako imara? Taasisi zipi zinaweza simama sasa na kuomba haya?
Upinzani ukiamua kwa dhati kabisa ukawacha mawazo ya kesho itakuwaje wanaweza maana watawala kamwe hawapo tayari kubadili katiba walio itunga wao kwa maslahi yao ili iwalinde kuendelea kutawala hivyo basi siyo kazi ndogo ya kuamka na kuikuta mezani
 
Upinzani ukiamua kwa dhati kabisa ukawacha mawazo ya kesho itakuwaje wanaweza maana watawala kamwe hawapo tayari kubadili katiba walio itunga wao kwa maslahi yao ili iwalinde kuendelea kutawala hivyo basi siyo kazi ndogo ya kuamka na kuikuta mezani
Tuna jamii iliyo tayari kwa hili? Mapambano
 
Magufuli ameweza sana kutengeneza state of fear,hata kama walikuwepo watu imara sasa hivi watulivuuu LOLS...na hivi naskia wamejitoa kwenye mahakama ya kimataifa then hali inazidi kuwa mbaya
Kwa maana ya ICC?
 
Tuna jamii iliyo tayari kwa hili? Mapambano
Mkuu viongozi wapo na unachotakiwa kujua ni kuwa ili taifa kukubali kubali katiba siyo nguvu ya kutoka ndani ya nchi pekee,hapana haiwezekani inatakiwa kuungwa mkono na watu wenye ushawishi unao heshimika na kuogopeka
 
Kususa ni rahisi sana lakini uchaguzi wa vyama vyote utafanyika kwani CCM na tume watatengeneza hivyo vyama na kuweka wagombea.
 
Mkuu Someone, kumbe uliwashauri Chadema kususia kushiriki uchaguzi, na kweli wamesusa, CCM imekomba, sasa baada ya kususa, what next, na 2020 ndio hii just around the corner!.

Wazee wa Chadema wameanza kuzungumza
Huu ndio ukweli wenyewe. Hebu tuchangie bila povu wajameni.

Mkuu Magonjwa Mtambuka, asante sana kwa hii kitu. Huyu ni mmoja wa ma Prof wa ukweli ninao waaminia, hivyo naunga mkono hoja ya Prof. Safari.

Tulisema humu akina sisi,

Kuna kitu hapa kilisemwa na Masha

Kikapuuzwa, sasa leo kusema Prof. Safari, haya sasa manazi wa Chadema, njooni mumponde kama kawaida yenu.

Mkiambiwa
Mnakasirika

P.
 
Kuna watu walikuwa wanakula hadi wanasaza sasa Chuma kimeingia Ikulu, ni kulia na kusaga meno. Chapa kazi JPM kelele za mlango zisikuzuie kulala Watanyooka tu. Hapa Kazi tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…