Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,692
- 26,202
Huu ndio ukweli wenyewe. Hebu tuchangie bila povu wajameni.
Video kwa hisani ya MwanaHALISI
Video kwa hisani ya MwanaHALISI
Kivipi?Umefufuka.
Makamanda wanapita kimya kimya. Nishai kweli kweli.Hahaha Ufipa imeangamizwa na laana ya Dk Slaa kumuita Dk mihogo.
Hayo yote ye wala hajaona..amesema lazima kuwepo na TUME HURU YA UCHAGUZI.
..pia ameeleza jinsi CCM walivyomdhulumu na kumharibia career, ndoto, na mipango yake ya kwenda kufanya kazi International Court of Justice, yenye makao makuu The Hague.
Na hii hujasikia (yaani umetia pamba masikioni):-Hayo yote ye wala hajaona
Ulinisalimia lakini mimi nikakupiga chini (nikakaushia). Unajifanya hukuona sio?Acha kudanganya.. juzi si tumekutana getini wote tukotoka kuunga juhudi?