Ushauri wakuu nimwambie nini Mama

Ushauri wakuu nimwambie nini Mama

Mambo ya kukaa kwa wazaz badala ya kutafuta getho uwe huru unakalia kulialia ....HV we unaona sawa kabisa kugegeda mdada ndani ya nyumba ya familia na Dada huyo hujamuoa???! Wafaa viboko wew....
 
Kwa ujuavyo watalichukuliaje hlo? Wakiniuliza nikatae au nikubali then niombe radhi mkuu maana hawakuniona ni hadithi kapewa...
Watu wanaonekana wanakataaa wewe kapewa story tu unatetemekaa mkuu???? Acha utanii afu maza akisikia atafurahi kweli maana atajua Ana kidumee...sema usitiee mimbaa tuu
 
Mambo ya kukaa kwa wazaz badala ya kutafuta getho uwe huru unakalia kulialia ....HV we unaona sawa kabisa kugegeda mdada ndani ya nyumba ya familia na Dada huyo hujamuoa???! Wafaa viboko wew....
Hapana kuna room ipo 4km kwenye site ya ujenzi... Sehem hyo mama ni famous sana asa waloniona wamenisemea kwa mama...
Nishaur mkuu
Kwa ujuavyo watalichukuliaje hlo? Wakiniuliza nikatae au nikubali then niombe radhi mkuu maana hawakuniona ni hadithi kapewa...
 
Watu wanaonekana wanakataaa wewe kapewa story tu unatetemekaa mkuu???? Acha utanii afu maza akisikia atafurahi kweli maana atajua Ana kidumee...sema usitiee mimbaa tuu
Daahh bora mkuu umenipa mahope kama yotee...
Yani hapa nakataa mpaka wanakubali show
 
wamikoani ndio kabisa hata hapo asingezuga kumwagia matofali maji angeyabeba kabisa na kuyapeleka saiti
Hahahahh...
By the way nashukuru soo halipo tena wakuu
 
Back
Top Bottom