Ushauri wakuu nimwambie nini Mama

Ushauri wakuu nimwambie nini Mama

Midozenj01

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2014
Posts
410
Reaction score
400
Habari za kushinda wakuu...
Naeleza kwa ufupi kidoogo mkasa mnisaidie ka ushauri kwa experience zenu asee...
Mimi ni kijana wa late 20's Jana nilikuwa na miadi ya SHOW tukayaset then leo ikawa SHOW kamili... Sasa time imefika nikapandisha getto chumba ambacho huwa analala msaidizi wetu wa kazi za home kufika pale nikamkuta mtoto kasimama maeneo ananisubiri kucheki juu kuna mbea mmoja kakaa kodoo kakomaa kuangalia mchezo... Me nikazuga kumwagilia tofari kidogo kama two minutes hv lakin wapi akawa anakomaa kuniangalia...
Mzee nikawa nimejaa makinikia asee akili inauma hatar nawaza puchi tuu...
Nikaenda nikafungua mlango then nikamwambia ingia... Bac na me ckukaa nikaingia...
Daahh show ikaenda mpka 9 kasoro iv from 6 mchana... Kutoka palikuwa kweupee hakuna mtuu... Nikatoka nae mpaka nkamsindikiza majimatitu uko...
Sasa bwana maeneo Yale ni ya mama kufanyia kazi na walipomuona tuu walimwambia issue inakuja mama ananiamini sana na mzee pia sasa karud job asaiv hajasema chochote tunaangalia Mpira wa yanga hapa....
Sasa wakuu kama wazazi au Mme experience situation hii nishaurini akiligalambua niseme nini asee...

Daahh ushauri wenu wakuu muhimu sana...
 
Nitaleta mrejesho baada ya kufanyia kazi maoni
 
Wahatasema chochote ila kimoyomoyo wanashangilia kwamba kijana wao umekua na unang’ata.
 
Habari za kushinda wakuu...
Naeleza kwa ufupi kidoogo mkasa mnisaidie ka ushauri kwa experience zenu asee...
Mimi ni kijana wa late 20's Jana nilikuwa na miadi ya SHOW tukayaset then leo ikawa SHOW kamili... Sasa time imefika nikapandisha getto chumba ambacho huwa analala msaidizi wetu wa kazi za home kufika pale nikamkuta mtoto kasimama maeneo ananisubiri kucheki juu kuna mbea mmoja kakaa kodoo kakomaa kuangalia mchezo... Me nikazuga kumwagilia tofari kidogo kama two minutes hv lakin wapi akawa anakomaa kuniangalia...
Mzee nikawa nimejaa makinikia asee akili inauma hatar nawaza puchi tuu...
Nikaenda nikafungua mlango then nikamwambia ingia... Bac na me ckukaa nikaingia...
Daahh show ikaenda mpka 9 kasoro iv from 6 mchana... Kutoka palikuwa kweupee hakuna mtuu... Nikatoka nae mpaka nkamsindikiza majimatitu uko...
Sasa bwana maeneo Yale ni ya mama kufanyia kazi na walipomuona tuu walimwambia issue inakuja mama ananiamini sana na mzee pia sasa karud job asaiv hajasema chochote tunaangalia Mpira wa yanga hapa....
Sasa wakuu kama wazazi au Mme experience situation hii nishaurini akiligalambua niseme nini asee...

Daahh ushauri wenu wakuu muhimu sana...
Bado uko kwa mama anafanya matendo haya waziwazi bila kuyaficha usifanye hivyo tena
 
Late 20's??

'..kama dem sijamuoa nisijemlaza chumbani, na kama bado naishi na mama nyumbani/
Nisije sema nimekua ikiwa kwa mama sihami'
 
Pita au kaa na boxer sebureni!.. Mama hatakuuliza kitu.
 
Kwann ufanyie home wakati bado uko chini ya wazazi!!?usirudie fanyia nje ya home si heshima
 
Back
Top Bottom