Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,599
- 2,243
Yeah positive hyo, vipi mtoto wa form one mini? 🙊🙊🙊🙊
Midozenj01Mimba IPO mkuu.. Hongera tena ni mapacha wa kike atafanana na mama yako na wa kiume atafanana na wewe...
Hongera saaaaana!
Mkuu ananiambia hazioni siku zake...
Na alikuja kusex na mie 3 days baada ya MP
Mtoa mada mwanafunzi na anataka kuibiwa mchana kweupeeeehalafu ameanza na mikwara na kikristo juu " lakini pressure imaempanda mpaka kasahau kusoma maelezo "??
bila shaka mtoa mada atakuwa ni mwanafunzi na bado anaishi kwao
Ana wasiwasi sana,.ila mbona kama ipo vile tena ya siku mbili...![]()
Jicho la rohoni limeonaImebidi nizoom tena ipo bwana ya siku mbili tatu au week

hahaa mtoa mada imekula kwake ajiandae kutoa hela ya abortion otherwise ajiandae kuitwa baba kijachoMtoa mada mwanafunzi na anataka kuibiwa mchana kweupeeee
Jicho la rohoni limeona![]()
Hahhaha woiiiHallelujah
Ule mstari wa pili uliofifia nilikuwa sijauona
hahaa mtoa mada imekula kwake ajiandae kutoa hela ya abortion otherwise ajiandae kuitwa baba kijacho
Hahhaha woiii
Hatarii sana,...ila mkiwa kitandani jomonii woiiiiHiyo situation uisikie tu woiiii moja haikai mbili haikai kwa mwanamke






Hatarii sana,...ila mkiwa kitandani jomonii woiiii
hahaa ... vipi haujapost kule "??!!!Hahhahaha walee kitoto cha shilawadu
Shoga sijafunga leo wallah hapa nime damshi kinoma-noma,..ndio maana nimepata nguvu ya kudumbukia humu mm woiii...shoga kitanda kina raha yake jomonii we unajuaa...
We fwala sijui kama umefunga mfyuuu
Achana na utamu wa kitandani
Achana na utamu wa kukulana