Ushauri wakuu hapo mimba ipo kweli??

Ushauri wakuu hapo mimba ipo kweli??

Imesoma positive ,kwenye control na Test ,mimba ipo,jiandae kwa clinics
 
Au sio equation...
Nalijua hlo lakin tym bado am still young 22 years then... Hahahahh jau babuu
Hakuna shida, tena kwa umri wako uko poa sana ukifika 40+ unapata mtoto wa kushauriana naye mambo makubwa zaidi na itapendeza zaidi kama mtafanana-ogopa kirusi tu.
 
Hakuna shida, tena kwa umri wako uko poa sana ukifika 40+ unapata mtoto wa kushauriana naye mambo makubwa zaidi na itapendeza zaidi kama mtafanana-ogopa kirusi tu.
Nakubali acha ning'atuke...
Nalivaa kibishi kama ipo kweli
 
Back
Top Bottom