mimisa
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,511
- 1,441
- Thread starter
- #81
look..zaman alikua analalamika si act lyk a wife material kind of a girl..nikabadilika..nikawa nafanya kila kitu ambacho mwanamke anafanya yaan kama kanioa vile,napika,nafua,napiga pas,nasafisha nyumba..everything...yaan,kama nikuchange,nilichange totaly ikafkia hatua di marafk zangu ambao yy alikua akisema wataniharibu nikapungza ukaribu nao..just to make him happy..bt ndo ivo..natukanwa..sn..adi wakat mwngne ashawah kuntukania mama yangu..nilimshtaki kwa rafiki yake wanaeheshimiana sn,..haku apologize.
Ila alichosema ni kua i made him do dat..ni vitu ving sn,..ni vng..n b4 nilikua msiri sn,,,hakuna alojua rltshp yangu ilikua na tatzo ata kidogo..baadh ya marafiki wallichukulia kama rltshp ya mfano..bt vitu vilipoanza kuzid ndo nikawa nashrikisha marafk zake+ zangu..lakin,haijasaisia..matusi kwake ni mtindo mmoja..yoote makubwa kwa madogo..na wakat tunakutana mm ata neno ''pumbavu'' mjinga nilikua nikitukanwa nalia sn..ss hayo niliyoyaorodhesha uko juu ndo ya mara kwa mara..naumizwa sn
Ila alichosema ni kua i made him do dat..ni vitu ving sn,..ni vng..n b4 nilikua msiri sn,,,hakuna alojua rltshp yangu ilikua na tatzo ata kidogo..baadh ya marafiki wallichukulia kama rltshp ya mfano..bt vitu vilipoanza kuzid ndo nikawa nashrikisha marafk zake+ zangu..lakin,haijasaisia..matusi kwake ni mtindo mmoja..yoote makubwa kwa madogo..na wakat tunakutana mm ata neno ''pumbavu'' mjinga nilikua nikitukanwa nalia sn..ss hayo niliyoyaorodhesha uko juu ndo ya mara kwa mara..naumizwa sn
Umenena kweli huenda na yeye anachangia katika kumuudhi lakini REACTION ya mtu ni maamuzi yake!!!
I used to have a girlfriend ambaye alikuwa hajui kupika na kibaya zaidi hataki kujifunza akija hata akukute jikoni ataulizia laptop iko wapi ama hard disk aangalie movies...lakini KAMWE sikuwahi kumtukana ama kutamka neno lolote baya!
The man is at fault in any case!
mimisa, jichunguze vizuri na amua leo...je wewe ni CHOKO ama CHOCOLATE....chukua hatua my dear!