Ushauri wako unahitajika...

Ushauri wako unahitajika...

thanx ma dia..it hurts letin him go..bt,i thnk i should do it b4 ts too late
Pole mumy, wat da guy z doin means dat u two wr nt meant 2b xo jc let t go en u'll fnd sm1 adourable dat wl make u da happiest woman n da world
 
Usisubiri ufunge ndoa au kuzaa na mtu kama huyu utajuta kuzaliwa, unaona huwezi kumuacha lakini mimi nakuambia unaweza, jikaze mpige chini, anazidi kukupotezea muda, kumbuka kua sasa hivi ndio mko kwenye uchumba anakutusi kiasi hicho akishakuoa ndio atakua anakupiga kila siku, Kwanza kashakuona mjinga, maana alitegemea kua uwe umeshamuacha kwa matusi yake na manyanyaso yake , lakini wewe unaendelea kumganda.
 
ni kweli..pengne haoni umuhimu wangu
yaan wwe m2 hajakuoa bado anakunyanyasa hivyo, akikuoa je c atakua anakufungia choon? Usijilazimishe kupenda usipopendwa, huyo c ndg yako hata ukiachana nae maisha bado yapo!anamgangania m2 asieona umuhim wako wa nn?
 
Kwanza wazazi hajabariki
Pili anakutukana na kukusimanga
Tatu anakutishia
Nne wewe mwenyewe umeanza kupata wasiwasi na hofu
Tano furaha imeanza kupungua

Ngoja nijaribu kuguess kitu kinachokukamata
-he is your 1st love, and it sound romantic to marry your childhood love
-you have invested 5 good years in of your life na hutaki ipotee bure bure
-anakukojoza utamu na hudhani kama kuna mwingine anaweza kukuliza
-anaomba msamaha kwa kulia na machozi juu kiasi kwamba anafuta machungu yote aliyokusababishia.

Reality ni hii (at least jinsi ninavyoiona mimi)
Mambo hayatabadilika at least kuwa mazuri kwa kuwa yote anayo yafanya ni maamuzi yake (sio circumstantial)
Hivyo basi kama you cant imagine maisha bila yeye, basi adapt kwa mazingira yaliyopo; matusi yake yasilete maana yoyote (ya-ignore) na uombe isije ikaturn to be physical; au kama maisha bila yeye ni kitu ambacho kinawezekana (mimi ninaishi na siko na huyo mtu wako) basi kiss him GOODBYE.
 
wakat mwngne kumbe ni vyema kusema kwa watu ukapata mawazo yao..mawazo kama yako yanazid kunifumbua..pengne ni kweli sipendwi tena..
Usisubiri ufunge ndoa au kuzaa na mtu kama huyu utajuta kuzaliwa, unaona huwezi kumuacha lakini mimi nakuambia unaweza, jikaze mpige chini, anazidi kukupotezea muda, kumbuka kua sasa hivi ndio mko kwenye uchumba anakutusi kiasi hicho akishakuoa ndio atakua anakupiga kila siku, Kwanza kashakuona mjinga, maana alitegemea kua uwe umeshamuacha kwa matusi yake na manyanyaso yake , lakini wewe unaendelea kumganda.
 
Dah!we sisteri embu chukua chako uondoke bhana kwani mwanaume peke e yake hapo tu matusi anakupa bado ajakuoa na kukuletea mke mwingine na kipigo juu,unamgandaaa kama rubaa
 
Bi. Dada,

Maushauri yote haya usipofunguka hata shetani atakushangaa. Being your fisrt man ndo akutese...??? Yeye ndo Mbulula coz he is suppose to respect you to the fullest kupata bahati ya kukuingiza dimbwini. Huyo itakuwa alishazoea vya kunyonga.........................mwache akwende zake.

Mungu katuumbia kitu kusahau........................Ukianza kuishi kwa NOTION ya eti nikimuacha hata kula siwezi UTAFARIKI kwa amani ya Bwana umwache akiRuka na Wengineo!

FUNGUKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!
 
Dada angu nimesikitika sana yan wanaume tunapenda kuchezea hisia za watu.achana na huyu mwanaume haraka ukilazimisha kuwa nae jua atakufa cku c zako.akikuoa jua umetengana na familia yako na faraja yako ni yy.sasa kama nae ni kichom hivyo tena kwenye uchumba kwenye ndoa je?

Achana nae omba wazaz wako msamaha, katubu kanisan kwa kuwabishia wazaz, omba mungu akupe mme wako huyo c wako na songa mbele. Mungu akujalie
 
Kwa nini anakutukana? Acha kuleta sababu za upande mmmoja na kwa members wengi ni kama wewe, wanajitia Upilato bila kuangalia upande wa pili. Yawezekana unamatatizo wewe au yeye? Lakini kuzungumza na kujirekebisha ni kitu cha msingi sana. Wanaume tunafanan sana kwa hili katika wanawake ila wanawake wanafikiria wanachukiwa. Hakuna mwanaume anayeweza kuwa na wewe halafu akuchukie. Toa sababu zaidi za hayo matusi.

Umenena kweli huenda na yeye anachangia katika kumuudhi lakini REACTION ya mtu ni maamuzi yake!!!

I used to have a girlfriend ambaye alikuwa hajui kupika na kibaya zaidi hataki kujifunza akija hata akukute jikoni ataulizia laptop iko wapi ama hard disk aangalie movies...lakini KAMWE sikuwahi kumtukana ama kutamka neno lolote baya!

The man is at fault in any case!
mimisa, jichunguze vizuri na amua leo...je wewe ni CHOKO ama CHOCOLATE....chukua hatua my dear!
 
Last edited by a moderator:
Mi nahisi unang'ang'ania Akuoe ili akubomoe mangumi ubaki kibogoyo na chongo ukose man mwingine
 
Chezea kupenda wewe?
Basi endelea kuvumilia hayo matusi, utafanayje sasa kama ukitaka kumuacha unashindwa hata kula lol!

yaan dia ninateseka sn..kila nikisema nijaribu kumuacha hata kula nashindwa..
 
Nimekufatilia sana mada yako hapo juu na comment zako!! Ukweli katika mapenzi kuna point ikifika ni vigumu kujinasua!! Alichokifanya kwako kwa mtu mwingine hata mada asingeileta hapa kwa ushauri angenawa tu basi!! Hapo hakuna real love zaidi ya mazoea tu!! Matusi dharau ni sumu sana kwa maisha ya ndoa ambayo unayahitaji!! Kubadilisha Dini sio swala na wazazi wako wanakataa ila kwa msukumo wa penzi unadiriki kufanya hivo! Hicho ni kitanzi unajivisha, mie ningekushauri jipe mazoezi ya kufuta hilo penzi kwani baada ya ndoa hautakaa miaka mitano mbele maana huyo jamaa ameshajua wewe ni dhaifu kwake na akisha kubadilisha Dini vingi vitakushika!!

Huyu dada hajafikia point ya kushindwa kujinasua, sasa hivi ndio kwanzaaa wachumba, na hawana hata mtoto sasa anashindwaje kujinasua hapo??? Udhaifu wa huyu dada ndio unaomtesa, hadi atakapoweza kuchukua maamuzi magumu ndio ataweza pata amani.
 
Mi nahisi unang'ang'ania Akuoe ili akubomoe mangumi ubaki kibogoyo na chongo ukose man mwingine

Umeona eee? wanawake tunatofautiana jamani, sijui anadhania kua mwanaume wako wa kwanza lazima akuoe hata kama hafai?
 
asante kwa kulifaham ilo..am hurt..sn 2
Huyu mdada ukisoma post zake ana maumivu kwelikweli, sijui kwa nini wadada 1st men huwa mnawang'ang'ania sana, kikubwa hapa mpeni mbinu, kama wata break up afanyeje kujisahaulisha.
 
nilitaman iwe ivo..dats 2b honest
Umeona eee? wanawake tunatofautiana jamani, sijui anadhania kua mwanaume wako wa kwanza lazima akuoe hata kama hafai?
 
hw do i do it?..nataman nitoke,naumia sn
Huyu dada hajafikia point ya kushindwa kujinasua, sasa hivi ndio kwanzaaa wachumba, na hawana hata mtoto sasa anashindwaje kujinasua hapo??? Udhaifu wa huyu dada ndio unaomtesa, hadi atakapoweza kuchukua maamuzi magumu ndio ataweza pata amani.
 
asante kwa ushaur
Chezea kupenda wewe?
Basi endelea kuvumilia hayo matusi, utafanayje sasa kama ukitaka kumuacha unashindwa hata kula lol!
 
yaan dia ninateseka sn..kila nikisema nijaribu kumuacha hata kula nashindwa..

kama kumuacha unashindwa kula basi utaweza ukiwa kaburini,ndg huyo kiumbe hakupendi we kusanya kilicho chako uchape lapa oooh hujaolewa unapungua kilograms ukiolewa itakuaje
 
sing'ang'anii anioe..nilitaman 2oane kwa kua twos my drm..
Mi nahisi unang'ang'ania Akuoe ili akubomoe mangumi ubaki kibogoyo na chongo ukose man mwingine
 
tru dat..asante kwa ushaur
kama kumuacha unashindwa kula basi utaweza ukiwa kaburini,ndg huyo kiumbe hakupendi we kusanya kilicho chako uchape lapa oooh hujaolewa unapungua kilograms ukiolewa itakuaje
 
Back
Top Bottom