Ushauri wako ni muhimu

Ushauri wako ni muhimu

Kuna baadhi ya vitu ambavyo ni vigumu viigingiza kwenye akili ambayo iko sober!

Maisha yako so complicated. Yanayoletwa mitandaoni mara nyingi huwa diluted kidogo. For some reasons naiamini hii story and l think hiyo mess itabumbulika kwa mkewe naye kama mume aliyesalitiwa itabidi akubali matokeo. Lkn hatrage itakuwa order of the day kwa ndoa zote.
 
Nashkur kwa ushauri wenu wakuu nazidi kupata kitu...... Japo wengine wanahisi jockes...... Ila ni reality in real world...... Ahsanten

wakat unamwibia mwenzako ulijiona ww ndio ww,ww ndio kidume kuliko wanaume wote, hukutaka kutambua maumivu atakayoyapata mwenzako. Hukufikir kuwa hata huyo mwanaume mwenzako ana moyo wa nyama.. Mm naomba ulaaniwe na watu wote waseme amina.
Na shukur Mungu umekutana na jamaa ni zoba ningekuwa mm kitendo cha kukutana na ww tu ningekamua trigger mara tatu kifuan kwako joka ww
 
first post at M.M.U....STILL UNDER SURVEILLANCE...

atakuwa member mzoefu, lkn kwa nature ya story na jinsi alivyojipotray (say kwa kusagia cheating) asingeweza kutumia ID ya zamani.
Ndipo point ya hypocrisy ya kwa member maarufu ya lara 1 inapokuja
 
Last edited by a moderator:
atakuwa member mzoefu, lkn kwa nature ya story na jinsi alivyojipotray (say kwa kusagia cheating) asingeweza kutumia ID ya zamani.
Ndipo point ya hypocrisy ya kwa member maarufu ya lara 1 inapokuja

So far naiacha kama ilivyo..neither against it nor for it...
 
Last edited by a moderator:
Yani hii kesi ni ngumu ngumu kweli kuitolea ushauri, manake maji yoooooooooooooote yashamwagika hayazoleki, na kwa jinsi mambo yenu yanavyokwenda nakuhakikishia soon mkeo atajua na hapo balaa linaweza likazidi, me nazani ni heri na wewe umwambie mkeo ukweli wote wa kilichotokea then mengine yatajulikana kuanzia hapo manake atleast akiamua kukusamehe utakuwa na mtu wa karibu wa kumshirikisha na kukusaidia mawazo na hata maamuzi ukiwa huru
 
ukome mmezidi kufungua zipu,na huyo kaka kamuoa huyo dada kuficha aibu ila moyoni ana machungu sana.
Hivi mnaingia kwenye ndoa na akili zenu au na akili za matope
 
wakat unamwibia mwenzako ulijiona ww ndio ww,ww ndio kidume kuliko wanaume wote, hukutaka kutambua maumivu atakayoyapata mwenzako. Hukufikir kuwa hata huyo mwanaume mwenzako ana moyo wa nyama.. Mm naomba ulaaniwe na watu wote waseme amina.
Na shukur Mungu umekutana na jamaa ni zoba ningekuwa mm kitendo cha kukutana na ww tu ningekamua trigger mara tatu kifuan kwako joka ww

Mgiriki.... Nashkur kwa ushauri wako......... Mkuu. .... Ila mimi najiona shujaa kushare TATIZO langu na jamii..... Ni wachache ambao wanauwezo huu... Wengi wanakaa kimya na wanaumia Zaidi.. Pili... Kumbuka tulipokutana nae first time Sio kwamba alikuwa amehalalishwa..... Hata pete ya uchumba hakunionesha.... Ila walikuwa ni wapenzi wenye malengo. .... Tatu Bado tunaishi Ninaamini wewe umekosa mengi kuliko mimi sema umejua mapema yangu kwa kuwa mimi ni mwepesi wa kutubu mbele ya jamii..... Amina
 
Duh !! Haya mambo ya ndoa haya ni pasua kichwa walahi !!! Yote 9, mimi nlicho mind ni kwann huyo mwanamke uliezaa nae anaendelea kukusumbua wakat anajua yeye ni mke wa mtu na wewe una mke na familia yako iliyoko songea unless kama ni issues relating na huyo kichanga chako. Watu mshafanya mistake lakn unakuta mwingine bado anataka kuendelea kuleta matatzo. Ndio maana wengine wanapigwa na risasi. It seems baada ya yeye kumuambia ukweli huyo bwana ake aliyefunga nae ndoa huko bukoba na kuona amemsamehe na kukubali kumuoa hvyo hvyo basi ndio amejiachia na kuona she can do anything. Ingekua ni mimi nisingekubali kufunga ndoa na huyo mwanamke aliyekua na ujaa uzito wako maana mwisho wa siku ingekua ni dharau na kejeli tu. All in all no one knows.

Senior Boss..... Nashkur kwa ushauri wako.....
 
ukome mmezidi kufungua zipu,na huyo kaka kamuoa huyo dada kuficha aibu ila moyoni ana machungu sana.
Hivi mnaingia kwenye ndoa na akili zenu au na akili za matope

Ushauri wako umefika....... But let's me pause the questions for u..... 1. Umeolewa 2. Kama ndio... Hujawah fanya kosa lolote.... Ktk maisha yako kwa Mungu na kwa binadamu...... 3. Unafikiri Kuna yoyote mkamilifu katika dunia? NIJIBU HATA MOJA
 
Yani hii kesi ni ngumu ngumu kweli kuitolea ushauri, manake maji yoooooooooooooote yashamwagika hayazoleki, na kwa jinsi mambo yenu yanavyokwenda nakuhakikishia soon mkeo atajua na hapo balaa linaweza likazidi, me nazani ni heri na wewe umwambie mkeo ukweli wote wa kilichotokea then mengine yatajulikana kuanzia hapo manake atleast akiamua kukusamehe utakuwa na mtu wa karibu wa kumshirikisha na kukusaidia mawazo na hata maamuzi ukiwa huru

Aminaaaa....... Ntafanyia kazi mawazo yako..... Ure positive thinker.....
 
Wiyelele hebu kuja utoe ushauri hapa...

Hiki kisanga chafanana na kama kile ulichopata kutueleza hapa...
 
Last edited by a moderator:
duuuh,,,hii ni hadith au mkasa!,,,kusoma inabd miwan,,,,any way pole kwa yote ila uyo binti atasumbuka sana na ww coz anaonekana kukupenda ww na sio uyo mme wake,,,jitahd ku-keep distance itasaidia angalau
 
Distant relationship ni majanga. Sio mpango wa Mungu wala wa ndoa.
In as much as mnatafuta kutatua matatizo ya pesa, mjue mnaalika matatizo makubwa zaidi ya ndoa.
Mungu awasaidie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom