Ushauri wako ni muhimu

Ushauri wako ni muhimu

Ushauri wako umefika....... But let's me pause the questions for u..... 1. Umeolewa 2. Kama ndio... Hujawah fanya kosa lolote.... Ktk maisha yako kwa Mungu na kwa binadamu...... 3. Unafikiri Kuna yoyote mkamilifu katika dunia? NIJIBU HATA MOJA

1. sijaolewa & i always date one man at a time
2. huwa nafanya makosa ya bahati mbaya ila hayafikii hili la kwako na huwa najitahidi na kumuomba mungu nisirudie kosa hilohilo mara mbili
3. no one is perfect

NB: For your case naona kama ni makosa ya kusudi,umetumia muda,pesa & nguvu zako kuijenga familia yako una mke na watoto ila baada ya kukutana na mwanamke mwingine unaisahau familia yako unadiriki kuchepuka tena mapenzi yasiyo salama,bila kujali kama utapata watoto nje ya ndoa au utapata magonjwa ya zinaa unayoweza kumuambukiza mkeo. NAHISI WATU WENGI WANAOANA NA WATU WASIOWAPENDA otherwise kama kweli unampenda mtu huwezi kufanya hayo madudu
 
Duh mahusiano yanaficha mengi, watu wangekuwa wakweli hakuna ambae angeishi na mwenza wake.
 
1. sijaolewa & i always date one man at a time
2. huwa nafanya makosa ya bahati mbaya ila hayafikii hili la kwako na huwa najitahidi na kumuomba mungu nisirudie kosa hilohilo mara mbili
3. no one is perfect

NB: For your case naona kama ni makosa ya kusudi,umetumia muda,pesa & nguvu zako kuijenga familia yako una mke na watoto ila baada ya kukutana na mwanamke mwingine unaisahau familia yako unadiriki kuchepuka tena mapenzi yasiyo salama,bila kujali kama utapata watoto nje ya ndoa au utapata magonjwa ya zinaa unayoweza kumuambukiza mkeo. NAHISI WATU WENGI WANAOANA NA WATU WASIOWAPENDA otherwise kama kweli unampenda mtu huwezi kufanya hayo madudu

Nashkur muungwana Majibu yako la 1,2 na 3 yamenipa uelekeo mzuri..... Kifupi mahusiano na matukio hayo niliyoandika ni robo ya tukio zima.... Nimejaribu sana kufupisha..... Mapenzi ni upofu... Najitambua kiafya na napima mara kwa mara..... Naye binti Huyo alikuwa akipima..... Condom tulitumia ila Kuna Makosa yalifanyika.... Nina mengi ila nimepata mengi toka Kwako pia... Nashukuru..... Sana Kwa mchango wako.....
 
Kama vipi mwambiye jamaa akuachie huyo mke awe meo wa pili maana tayari umezaa nae
 
hii chai umetuuzia. tangu amempa taarifa huyo mchumba wake alikuwa na miezi4, harusi ya ghafla ikapangwa. kabla ya harusi akajifungua, ina maana vikao vya harusi ya ghafla vilichukua miezi 5?
 
1. sijaolewa & i always date one man at a time
2. huwa nafanya makosa ya bahati mbaya ila hayafikii hili la kwako na huwa najitahidi na kumuomba mungu nisirudie kosa hilohilo mara mbili
3. no one is perfect

NB: For your case naona kama ni makosa ya kusudi,umetumia muda,pesa & nguvu zako kuijenga familia yako una mke na watoto ila baada ya kukutana na mwanamke mwingine unaisahau familia yako unadiriki kuchepuka tena mapenzi yasiyo salama,bila kujali kama utapata watoto nje ya ndoa au utapata magonjwa ya zinaa unayoweza kumuambukiza mkeo. NAHISI WATU WENGI WANAOANA NA WATU WASIOWAPENDA otherwise kama kweli unampenda mtu huwezi kufanya hayo madudu

so you are a serial polyandry!! naomba unifikirie zamu ijayo na mimi nionjepo kidogo
 
Kwanza nimefurahi style yako ya kuandika, maana japo mi mvivu kusoma stori ndefu nimejikuta nimesoma hadi mwisho na nikaelewa...

Kuhusu ushauri maze... endelea kucheza background. Inavyoonyesha hapo uwezekano wa kuachana na huyo binti kinoja ni mdogo sana, na consequences zake zinaweza kuwa massive. We potezea msg za jamaa, ila kama ulivyofanya, punguza ukaribu na mkewe hadi pale inapokuwa "muhimu". Kuhusu mtoto, probably ni wako. So isikuumize kuwa baba yake wa kambo hampendi (by the way unataka ampende ili iweje??!). Wewe mpende akiwa huko huko... itakuwaje, hilo ni swali ambalo litapata majibu with time. Kwa sasa mpende tu... hata kimoyo moyo (naongea kwa experience kidogo hapa)...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom