Ushauri wako nauhitaji

Ushauri wako nauhitaji

Baadhi ya watu akili zenu ni mbovu na mnamatatizo ila unajikuta akili nyingi,mie sijaja darasani au kuomba kazi so nahitaji ushauri na si chengine.
 
Kama una ndugu ambaye anaishi mbali, hama hapo nyumbani umfuate; ukifika huko fanyiwa maombezi
 
Napenda kukusaidia lakini uwe tayari kupokea ushauri. Mimi binafsi nilishapitia mapito yako. Kuna ukweli unatakiwa kujua kuwa mtu anaweza kuwa baba yako au mama yako lakini akawa adui yako.

Baba yangu na mama yangu mzazi walinichukia sana bila sababu. Lakini niliwapenda na niliwafanyia mambo mengi mema. Sio hivo tuu bibi yangu nilimpenda sana lakini pia alikuwa akinichukia san. Ila babu yangu hakuwa na shida.

Badae nilikuja kujua ukweli kuwa familia yangu ina siri kubwa sana. Siri hiyo ni kwamba kaa mbali na vitu usivyo vijua…….. hama karibu na hao watu kata mawasiliano na ndugu zako wote nenda mkoa mpya anza maisha utafaniliwa kama mimi. Na pia ukiondoka usiage na apa hutorudi nyuma tena. Watakuuwa. Ikiwezekena kunywa maji chooni. Msaada zaidi soma mada zangu na comments.
 
Back
Top Bottom