Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,526
- 2,961
Kwanza naomba uongoziu wa jamii forums usijaribu kufuta nyuzi hii kwani nategemea ushauri ambao utakao nifikisha sehemu salama katika maisha yangu,kwani napitia kwenye wakati mgumu wa kudharaulika licha ya kujipa moyo ni kipindi cha mpito.
Mimi ni kijana niliezaliwa miaka ya 90's,nimesoma madrasa na elimu ya dunia kwa kufanikiwa kupata
degree katika chuo x namshukuru mungu kwa elimu hizi mbili kwani nimefikia lengo la awali nilokuwa nalitamani kulifikia.maisha yangu nilizaliwa kisiwani(x) ns nimekulia mkoani dar es salaam tokea udogoni mwangu nilichukuliwa na mjomba wangu sabubu sizijui,kipindi hicho nakumbushwa kuwa nilipata miaka 3.
Nilianza elimu skul X,maisha ya elimu ukweli sikuwa na uelewa mzuri kwani la saba nilifeli nikapelekwa skul flani maeneo ya sinza,na nilipofikia form 2 ndiyo akili ilianza kuwa active na ndiyo hapo nikawa nafahamu na kuelewa uzuri elimu na kujiapiza kufaulu na namshukuru mungu nilifanikiwa kupata four ambayo iliniwezesha kwenda advance na uzuri niliomba chumba cha mtihani tu pale niliposomea baada ya baada kushindwa kulipia ada pale ilala skul X.
Siku zilienda nikafanikiwa kufaulu mtihani wangu wa kidato cha sita ilikuwa tiketi ya kuingia ulimwengu wa chuo X,n.nashukuru pia nilipiga msotol na kufaulu licha ya ups and down za GPA yaani nilizani kuwa ntadisco ila mungu alinipigania.
Awali mwaka wa pili nilienda homeland kusalimu,hapa ndipo visanga vilianza nakumbuka ilikuwa nikipindi cha corona,nilikaa kwa mda mrefu mpk nikajikutwa napawa na matatizo ya tumbo,lkn tumbo hili halikuwa la kawaida na nilipona baada ya kutibiwa kiswahili,lakini nikliambiwa kinachonisumbua ni jini ambae nilimpta hapo homeland.
Then miaka ilipita na kumaliza chuo,sikufanikiwa hata kufanya field ikawa hata kusoma sijisikii raha,ndipo nikaanza mchezo wa kuwafata waganga niseme tu,mimi sijawahi kuwafata waganga mpk nilipoanza matatizo basi nikiwauliza waganga wengine wanasema unajini la uganga na nikiangalia mitandao ya kijamii stori kama unalo lazima uje kuwa mganga basi mawazo yalinitawala na hata kusoma nilikuwa nasoma kumaliza tu,sikuwa na hamu napo.
Siku zilipita nikagraduate,nimejikuta narudi home tena basi nilionana na sheikh alonitbu swali la kwanza aliniuliza ndiyo usharudi kabsa nikamwambia bado,basi akacheka lkn baadae nilitafuta mganga mwengine nikaambiwa niwe mganga akanitibu ili niupate huo uganga maana maisha yalikuwa magumu mno lakini sikufanikiwa,zaidi kuota ndoto mbaya mara napandisha au kutibu n.k ila baadae kuna ndoto niliziota nikamfata mganga fulani akanambia huna jini wa uganga ila unachezewa nyumbani kwenu tu,basi nikarudi dar eeeh kukaa tena kidogo maisha magumu nikasema labd niende tena mkoani basi nikarudi.
Nilivyorudi mzazi akanielekeza na kunipeleka sehem X hapo nilifanyiwa dawa mpk leo holaaa,sasa kwa bahati mbaya mganga domo sijui limemshinda maana nilikuwa naenda wkt mwingi maana nilijua yeye ndio mwalimu wangu basi yule mganga,hiyo siku akanambia siri kuwa nisimwambie chochote nachotaka kufanya mzazi X na alinambia kuwa najua mzazi huyo ni muhimu ila usimwambie mambo yako na mpk leo maisha yamenipika na npo homeland na kila napotaka kuondoka najikuta mambo yanafeli.
Sorry,kwa gazeti ila naomba ushauri wako,nifanyaje kufanikiwa ndoto zangu za kimaisha na najikwamuaje?maana nimefanya biashara zote za kujizalilisha pesa nayotaka sipati nishabeba mawe n.k,biashara nafanya leo kesho inaharibika coz lengo ni kufanikiwa ila nashindwa na kufeli kbs.
Mimi ni kijana niliezaliwa miaka ya 90's,nimesoma madrasa na elimu ya dunia kwa kufanikiwa kupata
degree katika chuo x namshukuru mungu kwa elimu hizi mbili kwani nimefikia lengo la awali nilokuwa nalitamani kulifikia.maisha yangu nilizaliwa kisiwani(x) ns nimekulia mkoani dar es salaam tokea udogoni mwangu nilichukuliwa na mjomba wangu sabubu sizijui,kipindi hicho nakumbushwa kuwa nilipata miaka 3.
Nilianza elimu skul X,maisha ya elimu ukweli sikuwa na uelewa mzuri kwani la saba nilifeli nikapelekwa skul flani maeneo ya sinza,na nilipofikia form 2 ndiyo akili ilianza kuwa active na ndiyo hapo nikawa nafahamu na kuelewa uzuri elimu na kujiapiza kufaulu na namshukuru mungu nilifanikiwa kupata four ambayo iliniwezesha kwenda advance na uzuri niliomba chumba cha mtihani tu pale niliposomea baada ya baada kushindwa kulipia ada pale ilala skul X.
Siku zilienda nikafanikiwa kufaulu mtihani wangu wa kidato cha sita ilikuwa tiketi ya kuingia ulimwengu wa chuo X,n.nashukuru pia nilipiga msotol na kufaulu licha ya ups and down za GPA yaani nilizani kuwa ntadisco ila mungu alinipigania.
Awali mwaka wa pili nilienda homeland kusalimu,hapa ndipo visanga vilianza nakumbuka ilikuwa nikipindi cha corona,nilikaa kwa mda mrefu mpk nikajikutwa napawa na matatizo ya tumbo,lkn tumbo hili halikuwa la kawaida na nilipona baada ya kutibiwa kiswahili,lakini nikliambiwa kinachonisumbua ni jini ambae nilimpta hapo homeland.
Then miaka ilipita na kumaliza chuo,sikufanikiwa hata kufanya field ikawa hata kusoma sijisikii raha,ndipo nikaanza mchezo wa kuwafata waganga niseme tu,mimi sijawahi kuwafata waganga mpk nilipoanza matatizo basi nikiwauliza waganga wengine wanasema unajini la uganga na nikiangalia mitandao ya kijamii stori kama unalo lazima uje kuwa mganga basi mawazo yalinitawala na hata kusoma nilikuwa nasoma kumaliza tu,sikuwa na hamu napo.
Siku zilipita nikagraduate,nimejikuta narudi home tena basi nilionana na sheikh alonitbu swali la kwanza aliniuliza ndiyo usharudi kabsa nikamwambia bado,basi akacheka lkn baadae nilitafuta mganga mwengine nikaambiwa niwe mganga akanitibu ili niupate huo uganga maana maisha yalikuwa magumu mno lakini sikufanikiwa,zaidi kuota ndoto mbaya mara napandisha au kutibu n.k ila baadae kuna ndoto niliziota nikamfata mganga fulani akanambia huna jini wa uganga ila unachezewa nyumbani kwenu tu,basi nikarudi dar eeeh kukaa tena kidogo maisha magumu nikasema labd niende tena mkoani basi nikarudi.
Nilivyorudi mzazi akanielekeza na kunipeleka sehem X hapo nilifanyiwa dawa mpk leo holaaa,sasa kwa bahati mbaya mganga domo sijui limemshinda maana nilikuwa naenda wkt mwingi maana nilijua yeye ndio mwalimu wangu basi yule mganga,hiyo siku akanambia siri kuwa nisimwambie chochote nachotaka kufanya mzazi X na alinambia kuwa najua mzazi huyo ni muhimu ila usimwambie mambo yako na mpk leo maisha yamenipika na npo homeland na kila napotaka kuondoka najikuta mambo yanafeli.
Sorry,kwa gazeti ila naomba ushauri wako,nifanyaje kufanikiwa ndoto zangu za kimaisha na najikwamuaje?maana nimefanya biashara zote za kujizalilisha pesa nayotaka sipati nishabeba mawe n.k,biashara nafanya leo kesho inaharibika coz lengo ni kufanikiwa ila nashindwa na kufeli kbs.