musa yasini
Member
- Dec 15, 2020
- 28
- 36
Kazi inaendeleaPia somo la historia lisianzishwe. Maana alotaka liwepo hayupo na halina manufaa
Sio kazi ya NECTA kutoa selectionPia Necta itoe selection form five na form one mapema, hivi muda wote huo mnafanya nini? Mnakuja kutoa selection bado wiki mbili shule kufunguliwa.
Ni kazi ya nani?
Usilaumu usichokijua, necta wanafanya kazi mpaka usiku kwa kweli ukiwalaumu huwatendei hakiPia Necta itoe selection form five na form one mapema, hivi muda wote huo mnafanya nini? Mnakuja kutoa selection bado wiki mbili shule kufunguliwa.
TamisemiNi kazi ya nani?
Watueleze tusichokijua ili tuache kuwalaumu. Results zimetoka January huu mwezi wa 4 unaisha. Kazi gani wanafanya?Usilaumu usichokijua, necta wanafanya kazi mpaka usiku kwa kweli ukiwalaumu huwatendei haki
Ni kazi ya nani? Nieleweshe tafadhali
Ooh Asante, Basi nahamishia lawama zangu kwa TAMISEMI
Upo necta?Usilaumu usichokijua, necta wanafanya kazi mpaka usiku kwa kweli ukiwalaumu huwatendei haki
Hua nafanya nao kazi mara mbili kwa mwakaUpo necta?
Naomba mnaofahamu mnisaidie hili suala, hivi ikitokea mwanafunzi amesahau kufanya swali la compulsory kwenye mtihani hua anakatwa alama zote za hilo swali au wanasahihisha halafu wanakata alama za swali mojawapo Kati ya aliyofanya?? Na je Kama ni alama za swali wanachukua ambalo amefaulu Sana au ambalo amefeli sana?.Hua nafanya nao kazi mara mbili kwa mwaka