Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,989
- 3,692
no ingia website ya Costech utajifunza mengi pia kuna tuzo za mambo kibaon
ni wa kisayansi ila costech wenyewe wanadeal na watu wa university mostly
Sent using Jamii Forums mobile app
no ingia website ya Costech utajifunza mengi pia kuna tuzo za mambo kibaon
ni wa kisayansi ila costech wenyewe wanadeal na watu wa university mostly
Thank you still working on itno ingia website ya Costech utajifunza mengi pia kuna tuzo za mambo kibao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee huyo angeondoka na dawa yake na formula lakini angewaachia nyoka wapambane nao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nenda wizarani ukaulizie wao ndy watakupa maelezo ya kna zaid,ila kumbuka kuwa unaweza kunyang'anywa au kudhulumiwa hyo formula na wahuni.Kuna Mzee flank namfaham aligundua dawa ya kutibu sumu ya nyoka akaipeleka wizarani hyo dawa pamoja na baadhi ya nyoka kwenye sumu husika inayoweza kutibiwa na hyo dawa,kilichotokea in kwamba kuna mtu akataka kum- double cross kwa kumlazmisha Mzee atoe fomular,kwa bahat nzur Mzee akashtukia kamchezo na akarud na dawa yake,formula pamoja na nyoka wake so, be care Mister kwa kuwa ukienda ukajichanganya kwa kukabidhisha formular kwanza na ukamuelekeza namna ya ku-prove hyo formular,atawahi kwenda kwenye Media na kuiandikia kitab! Mwishowe watu watamuamini kuwa yeye ndy founder wa hyo formular
Ulifanikiwa?
[emoji23] it was somebody alkua anauliza hata sijui mi nlimsaidia kupostUlifanikiwa?
somebody alntafta nlmshauri aende costech wakamzingua ndo maana nkaleta mada humu ngoja nmtafteUlifanikiwa?
Umegundua nini Kama ni Formula ya Hesabu iweke hapa tuone kama kuna formula sijawahi ipitia...
Wewe utakuwa umekutana na figisu figisuMkuu ugunduz wangu unahusu afya, majengo , njia mpya za nishati , na pia nna idea kuhusu simu au electronic device ztakszokua modernized kuliko hzi za sasa
Peleka cosota ukasajili ama waone costech watakusaidiaMko poa wakuu?
Niende kwenye mada yangu kiujumla, najua humu kuna wasomi. Swali langu lilikuwa je kwa Tanzania kwa mfano mtu ukiwa umegundua lets say formula ya hesabu au kitu chochote cha tofauti unapeleka wapi na je kuna faida yeyote unayooweza ipata kutokana na ugunduzi wako huo?
Lengo la uzi huu sio kujisifia bali ni swali na kuomba ushauri.
Asanteni🙂🙂
[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe utakuwa umekutana na figisu figisu
certain geniusIdea ya kumodernize simu kuliko sasa... I see hii haikutakiwa kuachwa ipite.
We chizi kweli, nilijua huna lolote [emoji2][emoji2][emoji2][emoji23] it was somebody alkua anauliza hata sijui mi nlimsaidia kupost
upcoming neuroscientist so far chiefWe chizi kweli, nilijua huna lolote [emoji2][emoji2][emoji2]