Ushauri wa sehemu ya kupeleka ugunduzi wangu

Ushauri wa sehemu ya kupeleka ugunduzi wangu

Uzi mzuri sana mkuu wengi watafaidika na hii thread
 
Wanapelekaga kwa waandishi wa habari nadhani kama yule aliyegundua Helikopta nilimuonaga huko.
 
Nenda wizarani ukaulizie wao ndy watakupa maelezo ya kna zaid,ila kumbuka kuwa unaweza kunyang'anywa au kudhulumiwa hyo formula na wahuni.Kuna Mzee flank namfaham aligundua dawa ya kutibu sumu ya nyoka akaipeleka wizarani hyo dawa pamoja na baadhi ya nyoka kwenye sumu husika inayoweza kutibiwa na hyo dawa,kilichotokea in kwamba kuna mtu akataka kum- double cross kwa kumlazmisha Mzee atoe fomular,kwa bahat nzur Mzee akashtukia kamchezo na akarud na dawa yake,formula pamoja na nyoka wake so, be care Mister kwa kuwa ukienda ukajichanganya kwa kukabidhisha formular kwanza na ukamuelekeza namna ya ku-prove hyo formular,atawahi kwenda kwenye Media na kuiandikia kitab! Mwishowe watu watamuamini kuwa yeye ndy founder wa hyo formular
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nenda wizarani ukaulizie wao ndy watakupa maelezo ya kna zaid,ila kumbuka kuwa unaweza kunyang'anywa au kudhulumiwa hyo formula na wahuni.Kuna Mzee flank namfaham aligundua dawa ya kutibu sumu ya nyoka akaipeleka wizarani hyo dawa pamoja na baadhi ya nyoka kwenye sumu husika inayoweza kutibiwa na hyo dawa,kilichotokea in kwamba kuna mtu akataka kum- double cross kwa kumlazmisha Mzee atoe fomular,kwa bahat nzur Mzee akashtukia kamchezo na akarud na dawa yake,formula pamoja na nyoka wake so, be care Mister kwa kuwa ukienda ukajichanganya kwa kukabidhisha formular kwanza na ukamuelekeza namna ya ku-prove hyo formular,atawahi kwenda kwenye Media na kuiandikia kitab! Mwishowe watu watamuamini kuwa yeye ndy founder wa hyo formular
bora nashukuru
 
Fanya Ugunduzi wako uwe katika uhalisia.

Kisha, tafuta media ikutangaze na baada ya hapo you'll be appriciated.
 
jarb kusahau hiyo dhana ya ww kupata "faida" kwanza.

ukifanikiwa ktk hlo njoo, leta mada tena.
 
Back
Top Bottom