Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,307
- 40,108
- Thread starter
- #21
Mkuu we umepitia formula zoooteee
Kama ni wa kisayansi/kiuchumi/sanaa, andika kwa utaratibu na mwongozo unaokubalika, utume kwenye majarida (journals) husika. Yako majarida mengi,chagua kwenye Google.Mko poa wakuu?
Niende kwenye mada yangu kiujumla, najua humu kuna wasomi. Swali langu lilikuwa je kwa Tanzania kwa mfano mtu ukiwa umegundua lets say formula ya hesabu au kitu chochote cha tofauti unapeleka wapi na je kuna faida yeyote unayooweza ipata kutokana na ugunduzi wako huo?
Lengo la uzi huu sio kujisifia bali ni swali na kuomba ushauri.
Asanteni🙂🙂
Ingia Google dialog box, type au search Scientific journals kama unataka kuwa more specific unaweka +African journals etcMajarida yapi mkuu nigoogle ni ya kisayansi
Na, watakujulisha namna ya kusubmit na kama ugunduzi wako utakuwa peer reviewed. By following such steps, ni rahisi kuwa awarded au accredited na baadhi ya institutions wanachama wa hiyo journal.Ingia Google dialog box, type au search Scientific journals kama unataka kuwa more specific unaweka +African journals etc
OK.Mkuu nashukuru sana nkifankwa ntakutafuta
Mko poa wakuu?
Niende kwenye mada yangu kiujumla, najua humu kuna wasomi. Swali langu lilikuwa je kwa Tanzania kwa mfano mtu ukiwa umegundua lets say formula ya hesabu au kitu chochote cha tofauti unapeleka wapi na je kuna faida yeyote unayooweza ipata kutokana na ugunduzi wako huo?
Lengo la uzi huu sio kujisifia bali ni swali na kuomba ushauri.
Asanteni🙂🙂