ushauri wa kozi za chuoni

ushauri wa kozi za chuoni

Achana na degree electrical rudi hatua moja nyuma kapige diploma ya electrica enginearing VETA au ATC- Arusha na ukimaliza hakikisha haukai mbali na TANESCO nenda kachimbie nguzo au kuvuta waya huko ajira na mishiko ipo karibu sana, degree utaisoma ukiwa kazini. Fanya hivyo haraka mkuu tena usisite site hata wakikucheka wewe usiwaze


Nb. Ukipuuza ushauri huu utakuja kujutia wakati ukiwa bodaboda au fundi radio na Tv maana soko la ajira haliwataki wenye madegree , degree zinachukuliwa huko huko kazini


Weka lamination ushauri wangu uwe sala yako kila siku asubuhi
Okay
 
Back
Top Bottom