ushauri wa kozi za chuoni

ushauri wa kozi za chuoni

Wakuu nimefanikiwa kuhitimu kidato cha sita mwaka huu PCM nikiwa na BBA naombeni mawazo mazuri kuhusu kozi kwangu mm napendelea electrical engineering
Hatari so hapo integration by parts unashusha kama unateleza ndani ya mbususu., binomial distribution kama wanyonya chuchu vile
 
Civil Engineering pia au Mechanical zimekaa vizuri
 
Familia mimi nimepiga PCB nilikuw naulizia hivi naweza omba mechanical engineering pale MUST maana competition kwenye afya kwa sasa sio powa yaani kupata chuo , Matokeo yangu ni BBC
 
Wakuu nimefanikiwa kuhitimu kidato cha sita mwaka huu PCM nikiwa na BBA naombeni mawazo mazuri kuhusu kozi kwangu mm napendelea electrical engineering
Achana na degree electrical rudi hatua moja nyuma kapige diploma ya electrica enginearing VETA au ATC- Arusha na ukimaliza hakikisha haukai mbali na TANESCO nenda kachimbie nguzo au kuvuta waya huko ajira na mishiko ipo karibu sana, degree utaisoma ukiwa kazini. Fanya hivyo haraka mkuu tena usisite site hata wakikucheka wewe usiwaze


Nb. Ukipuuza ushauri huu utakuja kujutia wakati ukiwa bodaboda au fundi radio na Tv maana soko la ajira haliwataki wenye madegree , degree zinachukuliwa huko huko kazini


Weka lamination ushauri wangu uwe sala yako kila siku asubuhi
 
Achana na degree electrical rudi hatua moja nyuma kapige diploma ya electrica enginearing VETA au ATC- Arusha na ukimaliza hakikisha haukai mbali na TANESCO nenda kachimbie nguzo au kuvuta waya huko ajira na mishiko ipo karibu sana, degree utaisoma ukiwa kazini. Fanya hivyo haraka mkuu tena usisite site hata wakikucheka wewe usiwaze


Nb. Ukipuuza ushauri huu utakuja kujutia wakati ukiwa bodaboda au fundi radio na Tv maana soko la ajira haliwataki wenye madegree , degree zinachukuliwa huko huko kazini


Weka lamination ushauri wangu uwe sala yako kila

degree kwa usawa huu wa skuizi ni uwongo sana nenda diploma, ukipata kazi kachukue degree
 
Familia mimi nimepiga PCB nilikuw naulizia hivi naweza omba mechanical engineering pale MUST maana competition kwenye afya kwa sasa sio powa yaani kupata chuo , Matokeo yangu ni BBC
Kuna kozi za technical education in engineering unaweza kuzisoma. Eg, tech education in mechanical, tech in civil na nyingine nyingi. Unaweza pitia TCU pia vizuri zaidi.
 
wanangu walio pita diploma now wanaajira ila sisi wa degree babake tunasota , degree kwa usawa huu wa skuizi ni uwongo sana nenda diploma, ukipata kazi kachukue degree
nakazia mkuu. Degree jau sana . Diploma michongo ni chap chap degree atasoma akiwa kazini. Tena akiwa na masifa anachukua hadi masters
 
Familia mimi nimepiga PCB nilikuw naulizia hivi naweza omba mechanical engineering pale MUST maana competition kwenye afya kwa sasa sio powa yaani kupata chuo , Matokeo yangu ni BBC
Huwezi fanya Mechanical Engeering kwa kua huna Math advance,labda uende ukasome nje
 
Familia mimi nimepiga PCB nilikuw naulizia hivi naweza omba mechanical engineering pale MUST maana competition kwenye afya kwa sasa sio powa yaani kupata chuo , Matokeo yangu ni BBC
Nenda chuo kinachotambuliwa na serikali au kiwe cha serikali na kijikite hasa kwenye mambo ya afya. Piga diploma ya C/o ( tabibu) maswala ya afya kama bado ipo . Fanya hivyo haraka mkuu usipepese macho

Ukikosa kabisa chukua nursing alafu baadae pandisha iwe degree ukiwa kazini na ukipenda hadi masters.

Nb. Ukipata KCMc ni bora zaidi
 
Back
Top Bottom