Ushauri wa kina unaitajika

Ushauri wa kina unaitajika

hapo wadada ndipo mnapo nifurahisha...! ugelifriend tu panachimbika vipi ndoa sasa, make mtu anafikiria kama uhusiano tu ubnakuwa na ghrama badala ya kujifanya disminder..! huyu hataki ndoa hapo mzee gegeda ualale mbele mzee!
 
hapo hakuna mapenzi, tafuta ka-LAKI ,piga mzigo..chapa lapa.
 
Wakuu ni muda wa miezi mitatu nimekuwa nikimfatilia hatimaye akanasa lakini baada ya kumpata imekuwa kero siku moja tu baada ya kukubali kuwa naye amekuwa akinipiga vibomu mara nikitaka kwenda kwake niende na simu yakwake inamsumbua, mara anaomba atolewe out siku za weekend, mara anataka nimlipie kodi ya nyumba , mara anunuliwe nguo nikimwambia anipe muda anasema simjali, nifanyeje wakuu nampenda sana naombeni ushauri jamani.

Sasa we unategemea nini wakati kwa miezi yote mitatu uliyomfuatilia ulikuwa unaonyehsa advatize ya hela?...
 
bahili afaidi hadi siku ya iddi
acha uchoyo wewe mzee
toa ubarikiwe ,bora kutoa kuliko kupokea

Hapo imekaaje ndugu, siku hizi kuna kupata/kupewa baraka baada ya kuvunja amri ya sita ya Mwenyezi Mungu, ama shetani naye anabariki.
 
Kila kitu kina gharama yake mbona madai yake sio makubwa sasa angeomba umnunulie nadia ungesemaje mpendwa. Ukiyavulia maji nguo sharti uyaoge . Na ukiamua kuasi asi kwa mapana yake sio nusunusu sasa sijui wewe hapo unatafuta starehe au mke mie sijui. Kma unatafuta starehe basi mridhishe mwenzio na kama unatafuta wa kuoa ni vema ukamwambia mtazamo/wasiwasi wako ktk hilo.
 
hapo hakuna mapenzi, tafuta ka-LAKI ,piga mzigo..chapa lapa.
Hivi hii ni bei ya chini au ni bei ya kawaida na ikiwa aghari sana inafikia sh ngapi. I'm just curious
 
Hapo imekaaje ndugu, siku hizi kuna kupata/kupewa baraka baada ya kuvunja amri ya sita ya Mwenyezi Mungu, ama shetani naye anabariki.
Siku hizi mambo ya dhambi yameachwa mbali sana mpaka mtu akifa . Tena kizazi hiki hakitaki kabisa kuijadili dhambi na ukijaribu kuigusia wataboreka hivi ndivyo ulimwengu ulivyo hasa kwenye nchi zetu za dunia ya tatu maana ndiko kuliko na ushenzi wa kila namna. Na ndiko neema ilikomwagwa kwa wingi
 
aisee mbona mie hao wanaohonga siwapati? nataka kabati ya mbeho....
 
Hapo tofauti ni kwamba wewe unampenda yeye na yeye anapenda pesa tu,fikilia usipokuwa na pesa atakutaka tena?
 
Back
Top Bottom