Ushauri wa kina unaitajika

Ushauri wa kina unaitajika

BABU KIZEE

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2013
Posts
452
Reaction score
72
Wakuu ni muda wa miezi mitatu nimekuwa nikimfatilia hatimaye akanasa lakini baada ya kumpata imekuwa kero siku moja tu baada ya kukubali kuwa naye amekuwa akinipiga vibomu mara nikitaka kwenda kwake niende na simu yakwake inamsumbua, mara anaomba atolewe out siku za weekend, mara anataka nimlipie kodi ya nyumba , mara anunuliwe nguo nikimwambia anipe muda anasema simjali, nifanyeje wakuu nampenda sana naombeni ushauri jamani.
 
Kusema ukweli ni lazima uingie gharama kimsingi. Naona kama umechelewa japo hujachelewa maana ulitakiwa ujue ni mtu wa aina gani unataka kuanzisha mahusiano naye.

Inaonekana hao waliokutangulia walikuwa wanatoa hizo huduma, kwa mantiki hiyo anategemea nawe utaendeleza kutoa.

Hebu tusaidie kidogo kwenye hili; je, unaona kumpa hizo huduma si halali ama wewe huna uwezo wa kutoa hizo huduma? Vyovyote itakayokuwa, mwambie ukweli jinsi unavyofikiria kama ulivyokuwa jasiri wakati wa kutongoza.
 
Mhhhhh!!! Kama umekula mzigo escape from sobibo... la sivyo utakimbia mji... Fungua macho..
 
Kuzaliwa mwanaume matesoooo!!!!!!!!!!! Kuhangaika!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kuzaliwa mwanaume matesoooo!!!!!!!!!!! Kuhangaika!

++
lara 1
Ni kwa kuwa tunatofautiana akili tu,,hapa hakuna cha mateso ni kuendekeza tu..Kwa ukorofi wangu Ye ndo angekuja kulalamika hapa si mimi
++
 
Last edited by a moderator:
bahili afaidi hadi siku ya iddi
acha uchoyo wewe mzee
toa ubarikiwe ,bora kutoa kuliko kupokea
 
Hehe umepata mchuna buzi ndo maana umepelekeshwa mwanzo alikuwa hakutaki lakini akaona akuchune since unajipendekeza sana!mpige chini au kama unampenda sana toa huduma hizo!
 
hahahahaha kodi kitu kidogo sana,kwani nguo Tshs ngapi bhana ukitaka cha uvunguni sharti uturame............mpe mwenzio afaidi penzi la dhati.
Mentor kule ufukweni sh. ngapi hadi huyu mwenzenu anashindwa kumtoa out mamsup.:faint::faint:
 
Back
Top Bottom