- Thread starter
- #21
Huyo kaka yako ana matatizo, anawezaje kukupa au kukukopesha hela ya mtaji wa biashara isiyojulika. Labda hizo hela ni chafu.
Huyu kaka hana matatizo ya akili kama usemavyo,nakanusha hiyo kauli yako...naomba nieleweke kuwa mtaji wa mil 30 upo tayari ila kwa bahati mbaya sina idea tofaut tofaut zitakazoniwezesha kuizungusha hiyo pesa. ndo mana nkaja JF kuomba ushauri maana natambua kuwa watu humu ndani wana idea nyingi tena zilizo tofauti.,so naweza nikapata idea ambayo sikuwa naitambua kabla na ikawa ndo chachu ya maendeleo. ndg Buza nami ni hayo tu.