Ushauri wa haraka unahitajika

Siku ukimuona yupo kwny mudi nzuuuuri basi ndo unamfanyia ivo, ndoa kujipendekeza swtiii wanaume wenyewe wa kugombania hawa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Mbiti jamaniiii!, eti ana kidonda, HAHAH!
Ama kweli wewe Msukuma!


Heaven Sent njoo ona mamiyo kaamsha dude huku!.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wanaume wasenge wewe, na huyo mdada akilazimisha kuolewa huyo john anaweza kumuua hata mdogo wake Hlf kesi akampa Jack, ndo maana nimesema aanze kuzoea maumivu ya kuacha mapemaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna member kasema kati ya vitu vinaletaga vita na mapenzi ni mojawapo. Isije ikamletea majuto baadae.
 

Haki nakugawa!! Eti kama ana nini!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…