Ushauri wa haraka kwa CHADEMA

Kwanza kwa kabila yetu huwa hatutangazii watu tutatoa kiasi gani kwenye misiba, huwa tunaandika tuu kwenye daftari na kutoa cash. Michango ya kutangaza ni kwenye harambee na harusi.

Pili wewe sii ndugu, tafadhali sana usitake kuitia aibu Familia ya Ndesa kuja humu jf kuanza kuomba ahadi za michango ya rambi rambi as if familia ndio wamekutuma uje uhamasishe ku solicit funds humu jf ili azikwe kwa heshima, as if wamepungukiwa hivyo maziko ya heshima yanategemea michango!. No please!, uwe na heshima na misiba ya watu. Watu tunamlilia Ndesa wewe unafikiria utapiga pesa ngapi kwa kutafuta ahadi humu jf!.
Please don't, tena omba msamaha haraka kabla hajazikwa!. Karma ya marehemu kabla hajazikwa ni karma kali sana!.
Rip Ndesa Pesa.
P.
 
Mwenyezi Mungu ailaze mahala pema roho ya Mzee wetu Hayati Mh.Philemon Ndesambulo.
 
Ooh My God! Rest in Peace Mzee Ndesa Pesa. Huyu mzee nilikuwa na issue fulani na yeye kwenye ofisi yake Keys Hotel Moshi kama miaka minne hivi iliyopita wakati akiwa bado mbunge. Ndipo nilipogundua kwamba alikuwa mtu mpenda watu na mwenye roho tajiri na mkarimu mno. Aliwaruhusu waingie ofisini kwake watu watatu mmoja baada ya mwingine ambao kwa mwonekano wao walikuwa maskini sana. Walipomweleza shida zao aliwasaidia pesa na wawili akawaandikia kimemo waende mahali pa kupata msaada zaidi. Sio rahisi mbunge na tajiri mwenye mahoteli ya kitalii ndani na nje ya nchi na ana chopa kadhaa awe na unyenyekevu huo kwa hii Tz yetu tunayoijua. Mungu aweke roho yake pema peponi. Amina.
 
CDM hawawezi kuacha kushiriki huu msiba mzito mwanzo mwisho ndio maana hata M/kiti wa chama Mh Mbowe na wana CDM wote kuanzia bungeni hata nje ya bunge wameelekea kwa mtoto wa marehemu Lucy Owenya kwa taratibu zaidi za kumpumzisha mzee.


Kwa hiyo usihofu mkuu, heshima ya mzee imezingatiwa.

R . I. P Mzee Ndesa
 
Wana cdm tupo na msiba mkubwa sana
 
cdm walienda mzika tapeli mawazo kule mwanza waaanzaje shindwa shiriki kwa ndesa?we nae smtimes uwe unatumia akil kabla ya kuanzisha uzi humu
Hamkosagi watu kama nyinyi! Misiba sio ya kuiwekea ushabiki! Kifo hukijui...hata makaburi huyaoni?
 
cdm walienda mzika tapeli mawazo kule mwanza waaanzaje shindwa shiriki kwa ndesa?we nae smtimes uwe unatumia akil kabla ya kuanzisha uzi humu
Unamaanisha asizikwe mkuu?
 
Unamaanisha asizikwe mkuu?
Hamjanielewa..huyu kenge kajifanya anawashauri CDM nn wafanye wakati n ipo waz kuwa CDM huu msiba umewagusa sana kulko msiba wwte ule uliowah na utakao wai tokea kwa kipind hiki.
 
Hamjanielewa..huyu kenge kajifanya anawashauri CDM nn wafanye wakati n ipo waz kuwa CDM huu msiba umewagusa sana kulko msiba wwte ule uliowah na utakao wai tokea kwa kipind hiki.
Sawa mkuu
 
Huyo dada YEHODAYA hayuko sawa upstairs. Bado ana athari kubwa za kutimuliwa CHADEMA.
 
Hamjanielewa..huyu kenge kajifanya anawashauri CDM nn wafanye wakati n ipo waz kuwa CDM huu msiba umewagusa sana kulko msiba wwte ule uliowah na utakao wai tokea kwa kipind hiki.
Mkuu, uwe na heshima, staha na ustaarabu. Mimi si kenge. Hapa ni mahali pa kubadilishana mawazo na kupashana habari. Si mahali pa kudhihakiana na kutukanana. Chunga ulimi wako Mkuu!
 

Kilifuata nini? Unafiki mtupu
 
Mmmh, kama alikusudia kuandika milion kumi akasahau akaandika milioni 100 inamaana kasahau vyote yaani kwa maneno na kwa tarakimu??
Kama kaandika " pay someone ten million na kwenye tarakimu akaandika 100,000,000 basi hiyo cheki haiwezi kulipwa, and vice versa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…