nilikua nasoma Bwiru girls sasa kulikua na mambo ya kijembe, best, sweet, na ukifika lazima upate best, sweet, darling waliokutangulia vidato ndo wanaokuomba nikama mtu kukuaproach ukikubali ndo mnakuwa mnafanya hivyo so nilianza nikiwa form onne jaman mpaka wakati mwingine nachukia basi tu
kabla ya kufika bwiru girls ulikuwa umewahi kuhisi unavutiwa na wanawake wenzako?
mbali na huyo kuna mwanamke mwingine unayefanya nae? kama haya sio basi una nafasi kubwa ya kupona na kuacha na tabia hii.
kitu kizuri katika hili ni kuwa wewe mwenyewe unatambua kuwa una tatizo na uko tayari kuacha.
matatizo kama haya huwezi kuacha peke yako bila kupata msaada unaoeleweka. ni kama watu wanavyoshindwa kuacha pombe, sigara, kupiga puli, kununua makahaba, kupiga chabo, kutumia madawa ya kulevya n.k wanakuwa wanajua ni vibaya ila kwa kuwa vinawapa raha na wanakosa msaada stahili wanaendelea huku wakijilaumu.
NINACHOKUSHAURI, USIKATE TAMAA NA WALA USIOGOPE. zingatia; tafuta wataalum wa magonjwa ya akili watakusaidia. watakueleza vizuri njia za kubadili tabia, and during the course of Rx usikate tamaa kwani mabadiliko ya tabia huchukua muda. pole mdogo wangu