Ushauri wa fasta fasta unahitajika..

Ushauri wa fasta fasta unahitajika..

Si bure nilirogwa hivi kwa nini naona aibu kumwomba mwanaume hela? Aisee siwezagi akipenda anipe mwenyewe.

Nachoamini mwanaume kama anakupenda hawezi subiri umuombe, Mara utaona mpesa inaingia.

Mwanaume anaekupenda lazima akuulize kodi ya nyumba inaisha lini.

So hakuna haja ya kumwomba pesa mwanaume. Na asipo kupa chukulia poa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom