<br />Mwanamke mpumbavu huibomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe
kama majibu yake alikuwa hayapendi ya nini aliamua kumjaribu mkaka wa watu,nimependa sana kilichomkuta kwani itakuwa fundisho kwa wanawake ambao wako tayri kuharibu ndoa zao kwa kuwajaribu wenzi wao utadhani wao ni mashetani hata wawajaribu wenzaoHabari zenu?
Dada yangu anahitaji ushauri wa haraka kabla hajapata shinikizo la damu.
Dada anahisi shemeji hampi kipaumbele kama yeye anavyo mjali . Kwa kweli dada anampenda sana huyo bwana,
na shemeji naye anakiri kumpenda sana dada lakini inaonekana kuwa ni maneno mengi ya wanaume kuliko ukweli.
Juzi kati dada alimpa mitihani midogo kumpima kujua kama kweli ana mapenzi ya dhati. Shemeji bila kujua akarukia kwenye hiyo mitego ikamnasa.
Mtego mmojawapo ni kuwa badala watoke wote kwenda kwenye sherehe ambayo walialikwa, dada akamwambia shem aende tu mwenyewe, na shem akafurahia sana hiyo outing ya peke yake kitu ambacho dada alikitafsiri vingine.Shem hakujaribu hata chembe kumsihi dada waongozane kitu ambacho siku za nyuma ilikuwa haijawahi kutokea. Kwa kifupi dada anataka kufanya maamuzi magumu ya kuachana naye maana anahisi kuna mtu wa pembeni anayemzuzua shemeji.
Waungwana nyie mnaonaje hili?
Habari zenu?
Dada yangu anahitaji ushauri wa haraka kabla hajapata shinikizo la damu.
Dada anahisi shemeji hampi kipaumbele kama yeye anavyo mjali . Kwa kweli dada anampenda sana huyo bwana,
na shemeji naye anakiri kumpenda sana dada lakini inaonekana kuwa ni maneno mengi ya wanaume kuliko ukweli.
Juzi kati dada alimpa mitihani midogo kumpima kujua kama kweli ana mapenzi ya dhati. Shemeji bila kujua akarukia kwenye hiyo mitego ikamnasa.
Mtego mmojawapo ni kuwa badala watoke wote kwenda kwenye sherehe ambayo walialikwa, dada akamwambia shem aende tu mwenyewe, na shem akafurahia sana hiyo outing ya peke yake kitu ambacho dada alikitafsiri vingine.Shem hakujaribu hata chembe kumsihi dada waongozane kitu ambacho siku za nyuma ilikuwa haijawahi kutokea. Kwa kifupi dada anataka kufanya maamuzi magumu ya kuachana naye maana anahisi kuna mtu wa pembeni anayemzuzua shemeji.
Waungwana nyie mnaonaje hili?
Kujiamini huwa maana yake nini?Kuachana ni kutatua takizo kwa muda mfupi wala si la kudumu, kwanza huyo dadako mshauri ajiamini, kuwa na wasiwasi juu ya mumewe ni dalili ya kutojiamini kuwa yuko peke yake, mwangalie vizuri dadako kama ni mjamzito wala usihangaike, huwa mama zetu wakati kama huo wanapata negative psychological dispositions hasa kuona kuwa hawapendwi na waume zao.
Unaweza kukaa na shemejio kama wa2 wazima muongee juu ya hilo. Yote tisa, kumi ni kuwa huo unaouita uamuzi mgumu atakuja ujutia akigundua kuwa hisia zake hazijawahi kuwa za kweli.
MSHAURI AKAE KWENYE NDOA YAKE, akubali kuwa kuna milima na mabonde kwenye ndoa na si maziwa na asali kama wengi wanavyodhani!
Take ii or leave it!