The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 5,082
- 20,798
- Thread starter
- #21
Na bado mko nayo 5 fucken good years.Hizi pia juhudi za awamu ya tano
Na bado mko nayo 5 fucken good years.Hizi pia juhudi za awamu ya tano
Yule ni jaji kweli. Je na wewe ni hakimu kweli?Nyie mnanichanganya na id moja iko humu inaitwa jaji mfawidhi, sio mimi ila yule kiutawala ni boss wangu.
Acha uoga usio kuwa na maana mbona unaweza ukawa na the dem mmoja tu akawa wa gharama hivyo hivyo be a manKumiliki wanawake wengi ni gharama sana mkuu.
Domo ina super glue achana naeMkuu ya hovyo hayo ni yapi?
Hakuna kitu cha hovyo hapo labda uwezo wako wa uelewa ndio una mushkeli.
Kwa ithi Vana va buthangi kumiliki dem vingi ni hathara ja petha😂😂😂Acha uoga usio kuwa na maana mbona unaweza ukawa na the dem mmoja tu akawa wa gharama hivyo hivyo be a man
Sana mkuuKumiliki wanawake wengi ni gharama sana mkuu.
Uko sahihi, najua kipato kinachangia ila jitahidi kwenye hata kipato kidogo unachopata utenge kadogo kwa ajili ya mwanamke mwingine. Hiyo ndio maana ya kua mwanaume.Kiukweli kila mwanaume lazima awe na mwanamke zaidi ya mmoja tatizo uchumi unakuta nyumbani majukumu kibao kutoa is elfu tano kwa demu na watoto home unga umisha au Kodi ya nyumba ndiomana asilimia kubwa matajiri Wana wanawake kibao wanapiga kabao kamoja tuu sisi was kipato Cha chini tuna baki nako kamoja utakuta nako unakasugua kila siku mkuu Mimi nimekuelewa
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app