Ushauri wa bure kwa Shonza!

Ushauri wa bure kwa Shonza!

Katika mambo ya siasa unaweza kujivua nguo na watu wakakusanifu bila kujijua! Mwanasiasa aliyekomaa ni yule asiyetengeneza adui wa kudumu. Anajua leo yupo hapa lakini kesho aweza kuwa pale!
 
Juliana Shonza anao uhuru wa kuzungumza yale anayohisi anafaa...asisemwe vibaya maana kuna vyama vingi kutwa vinasema,CCM ipo busy kujenga nchi na vijana kama Juliana wapo kuwajibu wasema hovyo .

Kimsingi mtu kama Halima Mdee bangi zitampoteza.
 
hizi siasa kituko kweli. Akisemwa mdee cdm wanatetea. Akisemwa shanza ccm wanatetea. Mwisho wa siku mwamba ngoma...
 
Kachangudoa..
Wazee wa Chama Cha Majambazi wanaka-time wakashughulikie karudi mtaani kimyaaaaa
 
ahachane na mambo ya kupaka mkorogo. huko CCM si wanamuona kituko Khaaa

521519_10200612899583842_2089472450_n.jpg
Laah!...Kama shetani!
 
Mkuu in battle you have limited resources. It is wise to pick your targets wisely. Mnalenga makombora kwa mtu ambae hana cheo ndani ya chama wala influence kwenye chama wala jamii. Sababu pekee tunaendelea kumsikia ni kwa sababu watu bado wanajisumbua kumuongelea. Ni sawa sawa na nzi anaekusumbua, jinsi unavyo hangaika nae ndiyo anazidi kurudi na ndivyo unavyo zidi kujipiga makofi. Ni mtazamo wangu tu...
She is a viper snake; anamwaga sumu humu jf. Science ya propaganda, 'rudia uongo mara nyingi, itakua kweli'
 
Shonza hajiuliza hata sisi tunaotukana watu huku jf kila siku kwa ninitunatumia majina bandia?

Halafu tukimwiita malaya wa siasa anadai amedhalilishwa kijinsia. Ngoja sasa uone magamba watakavyokucharaza kama hawana akili nzuri. Ukitaka kuwajua waulize mavetrani kama akina Sophoia Simba. Anza kujifunza taarabu sasa bb mdogo.
 
Back
Top Bottom