Laah!...Kama shetani!ahachane na mambo ya kupaka mkorogo. huko CCM si wanamuona kituko Khaaa
![]()
She is a viper snake; anamwaga sumu humu jf. Science ya propaganda, 'rudia uongo mara nyingi, itakua kweli'Mkuu in battle you have limited resources. It is wise to pick your targets wisely. Mnalenga makombora kwa mtu ambae hana cheo ndani ya chama wala influence kwenye chama wala jamii. Sababu pekee tunaendelea kumsikia ni kwa sababu watu bado wanajisumbua kumuongelea. Ni sawa sawa na nzi anaekusumbua, jinsi unavyo hangaika nae ndiyo anazidi kurudi na ndivyo unavyo zidi kujipiga makofi. Ni mtazamo wangu tu...
Shonza hajiuliza hata sisi tunaotukana watu huku jf kila siku kwa ninitunatumia majina bandia?
Mhmhhh, very interesting...juliana wa ccm ninae mjua ni huyu hapo chini. huyo wa kwako hapo juu sijawahi muona
![]()
![]()
huyu bint aitwaye juliana anatakiwa aendelezwe na kulelewa kisiasa, si wa kubezwa ni mwanamke jasiri sana
ahachane na mambo ya kupaka mkorogo. huko CCM si wanamuona kituko Khaaa
![]()