Kaka umemaliza kila kituNi kweli Mavoko ana uwezo mzuri wa kutunga mashairi mazuri, ushahidi ni wimbo wake wa Ibaki Stori - Niwimbo wenye mashairi mengi sana.
- Lakini nyimbo za aina hiyo haziuzi ulimwenguni licha ya kupendwa hapa Tanzania, Mavoko tayari ana jina hapa bongo na anachokiangalia ni soko kubwa zaidi na kwa sababu huko hawaelewi unaimba nini - huwezi kuimba mashairi kibao kama kwenye Ibaki stori .Ndio maana unaona wameimba wenye mashairi mafupi mafupi tena ni wimbo wa burudani tu "Club Banger "
- Hata Diamond bado ana uwezo huo wa kutunga mashairi kama ya zamani ,ushaidi sikiliza matangazo aliyotengeneza yanavyokiki.
- Lakini kwasababu za kibiashara inatakiwa ubadilike badilike ili uuze maana muziki ni biashara huwezi kukommaa na kitu kwa sifa tu wakati huuzi.
Usiisaliti nafsi yako kwa unafiki unaoufanya hapa,wewe unatambua fika kwamba hapa unatekeleza majukumu yako ya kazi na unapata ujira kwa hili unalolifanya.Usifikiri kila aliye apa analipwa ni ushabiki tu next tym think twice kabla hujaropoka
Mbona vijana mnachanganyana? Mwenzako kasema tatu. Basi tufanye ni Salome peke yake.1.kidogo
2.salome
Huo upuuzi wa Youtube wenye akili hatutaki kuusikia.Waulize wakenya kule YouTube watakujibu
Tatzo ni pale mjinga anapojiona mwelevu ni tatzo sana inakuwa mgumu kumsaidiaHuo upuuzi wa Youtube wenye akili hatutaki kuusikia.
We humpendi Mavoko acha kutudanganyaRichard Mavoko ni mmoja wa waimbaji wazuri sana hapa bongo. Binafsi namkubali sana. Kaka nakushauri tuliza kichwa tunga wimbo mwingine mzuri, wapenzi wako hatujaridhika na wimbo wako wa Kokoro.
Mavoko una nyimbo nyingi nzuri ulizoimba mwenyewe na kushirikishwa ila huu wa sasa mmmmh.
kama huu wimbo wake wa kokoroKwl Richard ananyimbo nzuri before kuwa na diamond naona anavuruga alivyoenda tandale
Jamaa amejimaliza kabisaHawezi kutoa nyimbo hadi uongozi useme hapo ndiyo Diamond atabaki kuwa on top wa bongofleva.
Hayo ndiyo madhara ya kusign mikataba bila kufikiria mbele.
LA kuvulia samakiKokoro n nn
Ni kweli kabisa
Ila naskia hawezi toa wimbo mpaka Tiffah aamue halafu amwambie mama yake.
Watu kazi kuponda tu nyimbo ambàyo kila mtaa tz. Nzima inapigwKweli mavoco wa baby you marry me ni tofauti na kokoro naona kuingia wasafi kabweteka anahitaji kujituliza nakuja na vtu vzuri zaidi . hyo kokoro haieleweki
Watu kazi kuponda tu nyimbo ambàyo kila mtaa tz nzima inapigw hii nyimboKweli mavoco wa baby you marry me ni tofauti na kokoro naona kuingia wasafi kabweteka anahitaji kujituliza nakuja na vtu vzuri zaidi . hyo kokoro haieleweki
Hii imechaguliwa kupambanishwa ña kina manfongoUhai? Mkuu umelewa nini?
Hebu cheki hii feedback
View attachment 444270
Kidogo imeshinda best africa collaboration tizo za AELA
Mkuu ebu tupe mrejesho wa moyo mashine
Exactly!!!chicken head
Watz kwa wivu mtoto wa kiume tabia za dada yako nyimbo kila kona.inapigw we unasema kazingua akati mavoko alishapotea hii nyimbo ni nzur sana kwanzia melody mpaka mashair creative sana zigo lakuvunja chagaRichard Mavoko ni mmoja wa waimbaji wazuri sana hapa bongo. Binafsi namkubali sana. Kaka nakushauri tuliza kichwa tunga wimbo mwingine mzuri, wapenzi wako hatujaridhika na wimbo wako wa Kokoro.
Mavoko una nyimbo nyingi nzuri ulizoimba mwenyewe na kushirikishwa ila huu wa sasa mmmmh.
Kuna interview alifanya na EATV aliongelea hilo, akasema kama target yako ni Bongo basi imba ya mashairi ila kama unataka nyimbo iuzike nje ya Bongo then inabd iwe simpleNi kweli Mavoko ana uwezo mzuri wa kutunga mashairi mazuri, ushahidi ni wimbo wake wa Ibaki Stori - Niwimbo wenye mashairi mengi sana.
- Lakini nyimbo za aina hiyo haziuzi ulimwenguni licha ya kupendwa hapa Tanzania, Mavoko tayari ana jina hapa bongo na anachokiangalia ni soko kubwa zaidi na kwa sababu huko hawaelewi unaimba nini - huwezi kuimba mashairi kibao kama kwenye Ibaki stori .Ndio maana unaona wameimba wenye mashairi mafupi mafupi tena ni wimbo wa burudani tu "Club Banger "
- Hata Diamond bado ana uwezo huo wa kutunga mashairi kama ya zamani ,ushaidi sikiliza matangazo aliyotengeneza yanavyokiki.
- Lakini kwasababu za kibiashara inatakiwa ubadilike badilike ili uuze maana muziki ni biashara huwezi kukommaa na kitu kwa sifa tu wakati huuzi.
Una akili gani we boyaHuo upuuzi wa Youtube wenye akili hatutaki kuusikia.